Mzungu wa Yanga azikumbuka dabi

BAADA ya kudumu kwa msimu mmoja hatimaye kiungo mshambuliaji wa Yanga Princess, Kaeda Wilson anarudi nchini Marekani lakini akiwa na kumbukumbu ya kufunga mabao kwenye mechi za dabi. Kiungo huyo ataondoka nchini mwezi huu kuendelea na masomo kwenye Chuo cha UTAH kilichopo nchini kwao baada ya kucheza Yanga msimu mmoja. Mchezaji huyo hadi raundi ya…

Read More

Mzambia ang’olewa Yanga, Mourinho afunguka kurejea

MWISHONI mwa msimu huu, inaelezwa Yanga Princess itaachana na kocha mkuu, Charles Haalubono baada ya timu hiyo kufanya vibaya kwenye Ligi Kuu ya wanawake (WPL) na jicho la wananchi lipo kwa Edna Lema ‘Mourinho’ kuwa mbadala wake. Huu unaweza kuwa msimu mbaya zaidi kwa Yanga baada ya kufungwa na timu tatu tofauti nyumbani na ugenini…

Read More

Azam yatua kwa wajeda kubeba straika

AZAM FC imeanza usajili wa wachezaji  kwa ajili ya msimu ujao na tayari imewatambulisha mastaa wapya wanne, wakiwamo wawili kutoka Colombia na Mali, lakini haijaishia hapo kwani ipo hatua za mwisho kunasa saini ya aliyekuwa mshambuliaji wa Mashujaa, Adam Adam. Hadi sasa Azam imewatambulisha Wacolombia, Ever Meza (kiungo) na Jhonier Branco (mshambuliaji) sambamba na beki…

Read More

Simba yamnyatia beki Mkenya | Mwanaspoti

KLABU ya  Simba Queens imeanza kufuatilia kwa ukaribu dili la beki wa kati wa Wiyeta FC ya Kenya, Lorine Ilavonga (17) katika mipango ya kufanya maboresho eneo la ulinzi kuelekea msimu ujao. Inaelezwa beki huyo ambaye mkataba wake unaisha mwisho wa msimu huu anahitajika na klabu mbalimbali ikiwemo Police Bullets ya nchini Kenya. Beki huyo…

Read More

Kelvin ‘Mbappe’ kanyanyua upanga Denmark

KUNYANYUA upanga juu ni ishara tosha kuwa tayari kwa mapambano. Ndio! yupo tayari Kelvin John kwa hilo ikiwa ni siku chache tu tangu atambulishwe kuwa mchezaji mpya wa Aalborg BK ya Denmark baada ya kumaliza mkataba wa kuichezea  KRC Genk ya Ubelgiji. Licha ya mambo kutomwendea vile ilivyokuwa ikitarajiwa na wengi ndani ya miaka mitatu…

Read More

Singida FG yaanza na kocha mpya

UONGOZI wa Singida Fountain Gate umeanza kufanyia tathimini ya kikosi hicho kwa ajili ya msimu ujao huku kipaumbele cha kwanza ni kuhakikisha inampata kocha mzuri baada ya msimu huu kuandamwa na jinamizi la kuondoka kwa makocha wengi. Taarifa kutoka ndani ya timu hiyo zililiambia Mwanaspoti, viongozi wameanza vikao kwa ajili ya kujadili mwelekeo wa msimu…

Read More

Ubishi wa Fei Toto, Muda kumalizwa Amaan

FEISAL Salum ‘Fei Toto’ wa Azam na Mudathir Yahya wa Yanga, wote ni viungo wanaofanya vizuri katika timu zao ambazo leo Jumapili zinakwenda kucheza mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho (FA). Mchezo huo ambao awali ulipangwa kuchezwa Karatu mkoani Manyara, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) likaona liuhamishe mpaka Zanzibar kwenye Uwanja wa New Amaan…

Read More