Wakosa makazi nyumba zao zikibomolewa Kibaha

Kibaha. Zaidi ya wananchi 100 katika Kata ya Pangani Halmashauri ya Mji wa Kibaha Mkoa wa Pwani ,wamekosa makazi baada ya nyumba zao kubomolewa na tingatinga leo Mei 31, 2024. Wakati wananchi hao wakisema hawakupewa taarifa ya ubomoaji huo, Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Kibaha, Fokas Bundara amesema ni wavamizi na kwamba walipewa…

Read More

Kumekucha…! Yanga yatorosha beki mkongo, yampa miwili

NI rasmi sasa kwamba beki Mkongomani Chadrack Boka ni mali ya Yanga. Mwanaspoti limejiridhisha kwamba staa huyo amesainishwa mkataba wa awali wa miaka miwili mjini Lubumbasha, juzi. Kama hilo halitoshi, Yanga imemtorosha kwa kumuondoa mchezaji huyo Lubumbashi na kumhamishia Kinshasa ili kumuepusha na rabsha za mashabiki wa FC Lupopo ambao kuna hofu kwamba huenda wakamfanyia…

Read More

Simba, Yanga kupitisha fagio la chuma

DURU za kispoti zimeliambia Mwanaspoti kwamba kuna fagio la chuma litaanza kupita Simba na Yanga kwenye kipindi kisichozidi wiki moja kuanzia leo. Ni fagio ambalo huenda likawa na sapraizi ambazo huenda zikaacha mijadala kwenye vijiwe vya kahawa. Lakini za ndaani kabisa ni kwamba hilo lazima lifanyike ili mabadiliko yaonekane kwenye pichi msimu ujao wa kimashindano…

Read More

Buku 5 tu kuwaona Aziz KI, Fei Toto

MASHABIKI wa soka visiwani Zanzibar wana kiu ya kuona udambwidambwi wa Stephane Aziz KI, Pacome Zouzoua na Yao Kouassi wa Yanga pamoja na mziki mnene wa vijana wa Azam FC wanaoongozwa na Feisal Salum, Kipre Junior, Abdul Suleiman na Gjibiril Sillah. Katika kuhakikisha wanapata burudani ya fainali ya Kombe la Shirikisho (FA) kati ya Yanga…

Read More

Simba yamuandalia ‘sapraizi’ Bocco | Mwanaspoti

UONGOZI wa Simba umefunguka namna nahodha  wa zamani, John Bocco alivyokuwa na jukumu la kusaidia kutuliza migomo na kuongoza wachezaji wenzake nje na rekodi ya kutwaa mataji manne. Bocco amedumu miaka saba kikosi cha Simba baada ya kujiunga msimu wa 2017/18 na kutwaa mataji hayo ya Ligi Kuu na kuisaidia kucheza robo fainali tano za…

Read More

Man United inakaribia kuwinda mfanyakazi mwingine wa Arteta.

Mwanafizikia wa Arsenal Jordan Reece anaripotiwa kuwa tayari kuondoka katika klabu hiyo na kujiunga na Manchester United. Mashetan wekundu walimwajiri daktari wa Arsenal Gary O’Driscoll msimu uliopita wa joto, na hivyo kumaliza miaka yake 14 katika klabu hiyo ya kaskazini mwa London. Aliwasili kutoka Arsenal akiwa na sifa ya kuwa mmoja wa madaktari waliobobea kwenye…

Read More

Tambwe amvulia kofia Aziz KI

ALIYEKUWA mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe ameonyesha kushtushwa na kiwango bora cha kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Stephane Aziz Ki alichokionyesha msimu huu na kuifikia rekodi yake ya mabao 21 aliyoiweka misimu minane iliyopita. Tambwe aliibuka mfungaji bora wa Ligi Kuu Bara akiichezea Yanga msimu wa 2015/2016 alipofunga mabao 21 na rekodi hiyo imedumu kwa…

Read More

Tuzo za TFF 2024 zawagawa wadau

SIKU chache tangu Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) litangaze tuzo za soka kwa msimu wa 2023-2024 zitatolewa wakati ya Ngao ya Jamii ya uzinduzi wa msimu wa 2024-2025, wadau wameibuka wakionekana kuwaganyika juu ya uamuzi huo. Taarifa ya TFF kuhusu tuzo hizo kusogezwa mbele ilieleza sababu kubwa ni kuziboresha zaidi tofauti na misimu iliyopita japo…

Read More

Buku 5 tu kunawaona Aziz KI, Fei Toto

MASHABIKI wa soka visiwani Zanzibar wana kiu ya kuona udambwidambwi wa Stephane Aziz KI, Pacome Zouzoua na Yao Kouassi wa Yanga pamoja na mziki mnene wa vijana wa Azam FC wanaoongozwa na Feisal Salum, Kipre Junior, Abdul Suleiman na Gjibiril Sillah. Katika kuhakikisha wanapata burudani ya fainali ya Kombe la Shirikisho (FA) kati ya Yanga…

Read More

Mkude aliamsha mapema Unguja | Mwanaspoti

KIUNGO wa Yanga, Jonas Mkude, ni miongoni mwa wachezaji wa kikosi hicho wanaofanya mazoezi kuelekea fainali ya Kombe la Shirikisho (FA) dhidi ya Azam utakaochezwa Jumapili hii kwenye Uwanja wa New Amaan Complex visiwani hapa. Mkude alikosekana ndani ya kikosi cha Yanga kwa muda wa takribani wiki mbili baada ya kutokuwa vizuri kiafya. Daktari wa…

Read More