Simba, Yanga kupitisjha fagio la chuma

DURU za kispoti zimeliambia Mwanaspoti kwamba kuna fagio la chuma litaanza kupita Simba na Yanga kwenye kipindi kisichozidi wiki moja kuanzia leo. Ni fagio ambalo huenda likawa na sapraizi ambazo huenda zikaacha mijadala kwenye vijiwe vya kahawa. Lakini za ndaani kabisa ni kwamba hilo lazima lifanyike ili mabadiliko yaonekane kwenye pichi msimu ujao wa kimashindano…

Read More

2023/24 ulikuwa msimu wa rekodi

LIGI Kuu Tanzania Bara ilimalizika wiki hii kwa aina yake huku rekodi kibao zikiwekwa kwenye maeneo mbalimbali. Makocha na wachezaji walikiri ulikuwa ni msimu wenye ushindani zaidi uwanjani, viongozi wakakazia ilikuwa ni ligi ngumu na wenye mamlaka ya soka nchini wakakubali mchezo huo kukua kwa kasi. Licha ya furaha kwa Yanga na Azam zilizomaliza nafasi…

Read More

Simba, Yanga fagio la chuma

DURU za kispoti zimeliambia Mwanaspoti kwamba kuna fagio la chuma litaanza kupita Simba na Yanga kwenye kipindi kisichozidi wiki moja kuanzia leo. Ni fagio ambalo huenda likawa na sapraizi ambazo huenda zikaacha mijadala kwenye vijiwe vya kahawa. Lakini za ndaani kabisa ni kwamba hilo lazima lifanyike ili mabadiliko yaonekane kwenye pichi msimu ujao wa kimashindano…

Read More

Yanga yamvutia waya Baleke | Mwanaspoti

KUNA usajili wa kushtua unaoweza kujitokeza kwenye dirisha lijalo la usajili wa Ligi Kuu Bara. Jean Baleke kwenda Yanga. Mkongomani huyo ambaye kwa sasa anaichezea klabu ya Al-Ittihad ya Libya, aling’ara na Simba na kutema kwenye dirisha dogo huku mashabiki wakijiuliza bado ni nini kimetokea. Endapo kama dili la Baleke likiti, basi straika wao Joseph…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Asante na kwaheri Kapteni John Bocco

MACHO hayaamini yanachokiona kwenye ukurasa wa Instagram wa nahodha wa Simba, John Bocco ambaye msimu huu hakuonekana uwanjani kwa muda mrefu kutokana na majeraha. Ninachokisoma ni anko John Bocco amewaaga rasmi mashabiki wa timu hiyo kuwa anaachana nayo rasmi baada ya mkataba wake kumalizika akiwa ameitumikia kwa miaka saba. Kwangu, Bocco hajawaaga Simba pekee bali…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Geita nayo imeshuka na uwanja wake

MSIMU wa 2020/2021, Gwambina FC ya Mwanza ilishuka daraja ikiwa ndio kwanza imeshiriki Ligi Kuu kwa msimu mmoja baada ya kumaliza ikiwa nafasi ya 16 kwenye msimamo wa ligi iliyokuwa na timu 18. Kulikuwa na matumaini makubwa kwa timu hiyo ambayo maskani yake ilikuwa kule Misungwi, Mwanza angalau ingedumu Ligi Kuu kwa misimu kadhaa lakini…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Tusiichukulie poa Azam Ligi ya Mabingwa

HONGERA sana Azam FC kwa kujihakikishia tiketi ya kushiriki Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao ikiungana na Yanga iliyotwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu uliomalizika. Nimeamua kuwapongeza Azam kwa vile wana muda mrefu sana ambao wamekaa bila kushiriki mashindano hayo makubwa kwa klabu hapa Afrika. Kiufupi jamaa wameipambania hasa nafasi hiyo ya kuiwakilisha nchi…

Read More

WIZARA YA MALIASILI NA UTALII YAPONGEZWA KWA ONESHO MAALUM LA KUTANGAZA VIVUTIO VYA UTALII.

Na Jane Edward, Dodoma Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wameipongeza Wizara ya Maliasili na Utalii kwa ubunifu wa kuandaa Maonesho maalumu ya kutangaza vivutio vya utalii yenye lengo la kuelimisha wabunge kuhusu masuala ya uhifadhi wa maliasili na uendelezaji utalii yanayofanyika katika viwanja vya Bunge kuanzia leo Mei 30,2024. Akizungumza katika…

Read More