Sikia hii ya Mwangosi Simba

MSHAMBULIAJI wa Simba, Baraka Mwangosi ametajwa kama mchezaji atakayefanya makubwa baadaye, huku akitakiwa hivi sasa kujifunza vitu vingi kiufundi na ushindani vitakavyomjengea kujiamini na kutegemewa katika timu hiyo na Taifa Stars. Miongoni mwa walioliona hilo ni staa wa zamani wa Simba, Emmanuel Gabriel aliyesema Mwangosi anatakiwa kupewa muda kupata uzoefu, kujifunza vitu vingi katika timu,…

Read More

Willium Edgar atamani kuifunika rekodi yake ya msimu uliopita

MSHAMBULIAJI wa Dodoma Jiji, Edgar William amesema licha ya kiwango kizuri anachoendelea kukionyesha kwa sasa akiwa na kikosi hicho cha ‘Walima Zabibu’, lakini malengo yake makubwa ni kufunga mabao mengi zaidi ya aliyoyafunga msimu uliopita. Akizungumza na Mwanaspoti, Edgar aliyejiunga na kikosi hicho msimu huu akitokea Fountain Gate, alisema mwenendo wake mzuri unampa motisha ya…

Read More

Aucho mambo safi Singida BS, rasmi arejea kazini

UONGOZI wa Singida Black Stars, umetangaza kumsamehe kiungo wa timu hiyo, Khalid Aucho na kumrejesha kazini kuanzia leo Machi 5, 2026 baada ya kufanyika kwa majadiliano na tathmini ya kina kufuatia tukio lililotokea wakati wa mazoezi ya timu. Februari 27, 2026, uongozi wa Singida Black Stars ulitangaza kumsimamisha Aucho kwa miezi mitatu kwa tuhuma za…

Read More

Mikakati mipya ya Baresi KMC

KOCHA wa KMC, Abdallah Mohamed ‘Baresi’, amesema mechi tano zijazo za Ligi Kuu Bara kwa kikosi hicho zitakuwa za uamuzi mgumu wa kuamua hatima yao, japo jambo nzuri kwao kama benchi la ufundi ni kuona ratiba hiyo itaanza kuanzia mwezi ujao. Akizungumza na Mwanaspoti, Baresi alisema kutokuwa na mechi yoyote kwa mwezi huu ni jambo…

Read More

Mechi tano zatibua mambo Mbeya City

MWENENDO usioridhisha wa Mbeya City kwa sasa katika mechi za Ligi Kuu msimu huu, zimemweka kwenye wakati mgumu kocha wa timu hiyo, Mecky Maxime, huku presha ikizidi zaidi baada ya juzi kikosi hicho kuchapwa bao 1-0, dhidi ya Fountain Gate. Mechi hiyo iliyopigwa kwenye Uwanja wa Sokoine jijini, Mbeya, Mbeya City ilishindwa kutamba nyumbani na…

Read More

Nyota Azam awekwa chini ya uangalizi

KIUNGO mshambuliaji wa Azam, Nassor Saadun amewekwa chini ya uangalizi wa madaktari wa kikosi hicho baada ya kutoonekana uwanjani kutokana na majeraha ya nyama za paja. Akizungumza na Mwanaspoti, Daktari wa Azam, Mbaruku Mlinga, alisema mchezaji huyo amepata majeraha hayo ya kusumbuliwa na nyama za paja ndio maana hajaonekana uwanjani kwa muda sasa, ingawa maendeleo…

Read More

Majembe saba yampa jeuri kigogo Simba, atuma salamu

LICHA ya Simba kutoka suluhu dhidi ya Yanga katika Dabi ya Karikoo wikiendi iliyopita, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Simba, Crescentius Magori, amesema usajili uliofanyika dirisha dogo umezaa timu mpya itakayofanya makubwa msimu huu, huku kocha wa zamani wa klabu hiyo, Roberto Oliveira ‘Robertinho’ akiwataja mastaa watatu wakali. …

Read More