Morocco: Na bado, tunataka uongozi

LICHA ya Taifa Stars kushinda mechi tatu mfululizo katika hatua ya makundi ya michuano ya CHAN 2024 na kufuzu robo fainali, kocha wa kikosi hicho, Hemed Suleiman ‘Morocco’, amewataka wachezaji wake kuelekeza nguvu kwenye mechi ya mwisho ya hatua hiyo dhidi ya Afrika ya Kati ili kumaliza vinara wa Kundi B. Stars ilianza kwa kishindo…

Read More

Mokhtar afufua ndoto za MauritaniaMAURITANIA

USHINDI wa Mauritania dhidi ya Jamhuri ya Afrika ya Kati katika michuano ya CHAN 2024 umeibua matumaini mapya kwa kikosi cha Mourabitounes, huku mchezaji bora wa mechi hiyo, Ahmed Mokhtar Ahmed, akitamba juu ya ushindi huo. Baada ya mechi mbili mfululizo bila kufunga dhidi ya Madagascar na Tanzania, presha ilionekana kuwa kubwa kwa washambuliaji wa…

Read More

Azam yamtambulisha rasmi Japhte Kitambala

AZAM FC imeendelea kujiimarisha kwa ajili ya msimu ujao wa mashindano ikiwamo Ligi Kuu Bara, baada ya kumtambulisha rasmi mshambuliaji kutoka DR Congo, Jephte Kitambala. Katika picha iliyosambazwa kwenye mitandao ya kijamii, Kitambala,  ameonekana akisaini mkataba mpya mbele ya viongozi wa klabu hiyo.  Mkataba huo mpya unamfanya kuwa mchezaji wa Wanalambalamba hadi mwaka 2026, jambo…

Read More

Mzize aendeleza rekodi michuano ya CAF

MABAO mawili aliyofunga dakika ya 13 na 20 yaliyoiwezesha Taifa Stars kutinga robo fainali ya michuano ya CHAN 2024, Clement Mzize kuendeleza rekodi tangu katika michuano inayoendeshwa na CAF. Mzize aliiwezesha Stars kupata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Madagascar ikiwa ni wa tatu mfululizo wa Kundi B na kutinga robo fainali kwa mara ya…

Read More

Samatta kulipwa kibosi Ufaransa | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta atakuwa akilipwa kibosi huko Ufaransa kufuatia kujiunga na Le Havre AC inayoshiriki Ligue 1, akiwa mchezaji wa kwanza kutoka Tanzania kuvaa jezi ya klabu hiyo kongwe. Kwa mujibu wa makadirio ya mishahara ndani ya Ligue 1, wachezaji wa timu za kiwango cha kati kama Le Havre hupokea kati…

Read More

Dogo wa Sudan afichua jambo 

KATIKA umri wa miaka 18 tu, Musa Hussein amejikuta akiwakilisha ndoto ya mamilioni ya vijana wa Afrika kwa kufunga bao katika mechi ya ufunguzi ya Sudan katika mashindano CHAN 2024. Hussein ndiye mchezaji mdogo kabisa kufunga bao katika mashindano haya, jambo lililomfanya kuwa mchezaji wa kwanza na wa pekee aliyeweka alama akiwa na umri huo…

Read More

Stars yatabiriwa kumaliza kinara kundi B

ACHANA na matokeo ya mechi za jana, Jumamosi na Taifa Stars ilikuwa na kibarua dhidi ya Madagascar, kocha wa zamani wa Yanga, Luc Eymael ameitabiria timu hiyo ya taifa la Tanzania kumaliza kinara kwenye msimamo wa kundi B. Kocha Eymael ametoa kauli hiyo huku akisubiri mechi ya mwisho ya kundi ambayo Stars itacheza dhidi ya…

Read More