Fabian Sulle, Noela Peter wavunja rekodi Clock Tower Marathon Arusha
Wanariadha chipukizi Fabian Sulle na Noella Peter kutoka Wizara ya Mambo ya Ndani wameng’ara vema katika mbio za Clock Tower Half Marathon zilizomalizika jijini Arusha leo Agosti 10, 2025. Wanariadha hao mbali na kuibuka na ushindi pia wamevunja pia rekodi zao binafsi za muda wa umbali wa kilomita 21 katika mbio hizo zilizoanzia mzunguko wa…