Uamuzi mgumu ulivyobadili upepo Yanga

YANGA ndio mabingwa tena. Imebeba taji hilo kwa mara ya tatu mfululizo, ikiendeleza ubabe wake kwenye safari iliyokuwa na mabonde na milima. Yanga imelichukua taji hilo ikiwa na sura fulani tofauti na misimu miwili iliyopita, ikitoka kupitia mabadiliko mbalimbali kwa maana ya namna ya ilivyoanza msimu huu wa 2023/24 na hata muundo wa timu yao….

Read More

Simba ilivyopoteza mabilioni ya CAF

SIMBA iko chimbo ikiendelea kusuka kikosi chake kimya kimya baada ya kumaliza vibaya msimu wa 2023/2024 kwa kupoteza mataji sambamba na mabilioni ya pesa ikiwemo yale ya CAF. Ulikuwa ni msimu dume kwa Wekundu wa Msimbazi hao wakimaliza katika nafasi ya tatu kwenye ligi, kuishia robo fainali ya Ligi ya Mabingwa, kuondoshwa hatu ya 16…

Read More

Wenye umri mkubwa yamewakuta Umitashumta

KAMA ulidhani ishu ya udanganyifu wa umri ipo katika ngazi ya juu tu ya soka la Tanzania, basi ulikuwa unajidanganya, unaambiwa zaidi ya wachezaji 10 wamerudishwa nyumbani baada ya kubainika kuwa na umri mkubwa katika mashindano ya Umoja wa Michezo na Taaluma kwa Shule za Msingi Tanzania (UMITASHUMTA) kwa Mkoa wa Dar es Salaam. Chujio…

Read More

Simba mpya Mgaboni, Matampi | Mwanaspoti

KAZI imeanza Simba. Na inaanzia langoni. Simba imeanza mchakato wa kusuka upya kikosi chake na tayari mezani ina majina mawili ya makipa wa kigeni ambapo watachagua mmoja. Wamefikia uamuzi huo kwani wanaona kuna kila dalili ya kumpoteza kipa wao namba moja wa sasa, Mmorocco Ayoub Lakred licha ya kwamba inadaiwa mpenzi wake ameanza kupaelewa Bongo….

Read More

Tuzo za TFF kutolewa mechi ya Ngao ya Jamii

TUZO za Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kwa msimu huu zitafanyika wakati wa mchezo wa Ngao ya Jamii tofauti na mwanzoni zilipokuwa zinafanyika siku tatu kabla ya kumalizika kwa fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam (ASFC). Katika taarifa iliyotolewa na TFF ilieleza kwamba, sababu kubwa za tuzo hizo kufanyika kipindi hicho ambacho…

Read More

KIJIWE CHA SALIM: Maajabu ya mchezo wa kupiganisha majogoo

KATIKA kila nchi wapigakura huwa na mambo yanayowafanya kuamua chama gani wakichague wakati wa uchaguzi, ambapo wapo ambao hukichagua kuongoza kwa kuamini kutakuwepo na amani na wengine umuzi wao huegemea ukabila, dini, uchumi, elimu, afya na mambo mengine. New Content Item (2) Lakini katika Bara la Asia na visiwa vya Caribbean, mtazamo wa chama cha…

Read More

Mume adai kudhulumiwa Sh4 milioni na mkewe

Dar es Salaam. Shahidi wa kwanza, Rashid Kiwamba amedai mahakamani kuwa mkewe Habiba Mohamed amemtapeli Sh4 milioni fedha ya nyumba waliyouza eneo la Ulongoni. Inadaiwa kuwa kati ya Septemba 28, 2023 eneo la Ulongoni Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam mshtakiwa, Habiba alipokea Sh4 milioni kutoka kwa mumewe, Rashid Kiwamba kupitia benki ya NMB…

Read More

Mgunda: Nilimwambia Bocco awe kocha

SIKU moja baada ya nahodha, John Bocco kuaga mashabiki na wachezaji wenzake wa Simba, kaimu kocha mkuu wa timu hiyo, Juma Mgunda amesema yeye ndiye aliyemshauri straika huyo mkongwe awe kocha. Bocco amedumu miaka saba ndani ya kikosi cha Simba baada ya kujiunga na Wekundu wa Msimbazi msimu wa 2017/18 na kutwaa mataji manne ya…

Read More