Matampi atoa siri ya kumpiku Diarra

KIPA wa Coastal Union ya Tanga, Ley Matampi amefunguka siri ya mafanikio yake ya kuongoza kwa clean sheet, akimtaja kipa wa Yanga Djigui Diarra ambaye amempiku msimu huu. Akizungumza na Mwanaspoti, Mkongomani huyo amesema jambo pekee lililomfanya kuwa bora ni ushirikiano wa makocha na wachezaji wenzake. Matampi ambaye ameweka rekodi ya kucheza mechi 24 na…

Read More

Fei ampigia saluti Aziz Ki

KIUNGO wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’ amempongeza Stephane Aziz Ki kwa kuibuka mfungaji bora akipachika mabao 21 huku akiweka wazi kuwa alistahili. Fei Toto ambaye amefunga mabao 19 akiachwa mabao mawili na kinara huyo ambaye walikuwa wanakimbizana kwenye ushindani, amesema licha ya kukosa kiatu cha dhahabu msimu huu anafurahi kuipambania timu yake kushiriki…

Read More

Moto wa kuipa Azam ubingwa 2024/25

Msimu wa Ligi Kuu Bara 2023/24, umekamilika hapo kesho jana kwa timu zote 16 kushuka kwenye madimba nane tofauti katika muda mmoja wa saa kumi alasiri. Tayari bingwa Yanga alishapatikana mapema, na jana ligi ikamalizia kwa msisimko mkubwa sana kwa mbio za kuwania nafasi ya pili iliyotwaliwa na Azam FC na kuiacha Simba ikishika nafasi…

Read More

Mgunda awahi kumalizana na Indonesia

Mgunda awahi kumalizana na Indonesia KAIMU Kocha Mkuu wa Simba na timu ya taifa ‘Taifa Stars’, Juma Mgunda anatarajia kuuwahi mchezo wao wa kwanza wa kirafiki dhidi ya timu ya taifa ya Indonesia unaotarajiwa kuchezwa Juni mbili mwaka huu. Mgunda ameondoka nchini leo akiongozana na wachezaji watatu kwenda kuungana na timu ya Taifa ambayo ipo…

Read More

Bocco awaaga Simba, mastaa watia neno

BAADA ya kudumu misimu saba ndani ya Simba, nahodha wa timu hiyo, John Bocco amewaaga mashabiki na mastaa wenzake wa timu hiyo kwa kuweka wazi kuwa huu ndiyo mwisho wake wa kuonekana ndani ya kikosi hicho akicheza. Bocco kupitia mtandao wake wa kijamii ameandika: “First and Last thanks Lion” akiwa na maana kwamba ni mwanzo…

Read More

Kikosi bora cha Mwanaspoti Ligi Kuu Bara 2023-24

PAZIA la msimu wa 2023/2024 wa Ligi Kuu Bara limehitimishwa rasmi baada ya vita ya vuta nikuvute huku kila timu ikivuna ilichopanda. Yanga imetwaa ubingwa wa tatu mfululizo, Azam imemaliza ya pili na kufuzu Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao, huku Simba iliyomaliza ya tatu na Coastal Union (4) zitacheza Kombe la Shirikisho Afrika, ambalo…

Read More

Aziz Ki abeba tuzo ufungaji bora Bara 2023/24

DAKIKA za jioni kabisa. Vita imeisha. Stephane Aziz Ki wa Yanga ameibuka mfungaji bora wa Ligi Kuu Bara katika mechi ya mwisho wa msimu akimzidi kete Feisal Salum ‘Fei Toto’ wa Azam. Ni vita kali ambayo ilichagiza ushabiki kwenye mechi za jana jioni hususani kwenye vibandaumiza. Aziz Ki ndiye ameibuka mbabe wa vita hiyo iliyoteka…

Read More

Hatimaye Azam FC Ligi ya Mabingwa Afrika

SAFARI ya Azam FC kuisaka nafasi ya kushiriki michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao imefanikiwa baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Geita Gold na kumaliza Ligi Kuu Bara ikiwa katika nafasi ya pili katika msimamo. Azam FC iliyoanzishwa mwaka 2004 na kuanza kucheza Ligi Kuu Bara mwaka 2008, iliwahi kufanikiwa…

Read More

Matampi amfunika Diarra ‘clean sheet’ Ligi Kuu

MKALI wa kulinda nyavu ‘clean sheet’ katika Ligi Kuu Bara msimu huu ameibuka kuwa kipa Ley Matampi wa Coastal Union baada ya kumaliza akiwa nazo 15 ukiwa ni msimu wake wa kwanza katika mashindano hayo. Matampi aliyempiku Djigui Diarra wa Yanga ambaye huu ni msimu wake wa tatu, tayari ameshinda tuzo hiyo misimu miwili mfululizo akimshusha…

Read More

UBISHI WA MZEE WA KALIUA: Naupenda uzee wa Saido

UZEE wa Saido Ntibazonkiza ni ‘uzee wa busara’. Utu uzima dawa. Ni ile maana halisi ya hakuna kijiji kinachokosa wazee. Ligi yetu bado ina maajabu kidogo. Wachezaji wazee wanacheza vizuri na wanafunga sana kuliko vijana. Ni kweli soka letu linakua na tumeanza kupata wachezaji wengi bora licha ya kutoondoa ukweli, umri sio kigezo cha kumzuia…

Read More