Mazito yabainika viwanja 14 vya Ligi Kuu, Kwa Mkapa…

UBORA wa viwanja una nafasi kubwa ya kuzalisha ligi, wachezaji na timu bora na ni jambo lililo wazi hakuna nchi yoyote iliyopiga hatua kisoka ambayo haina viwanja. Katika kuonyesha umuhimu wa uwanja katika mchezo wa soka, umewekwa kama sheria namba moja kati ya 17 za soka na hakujawahi kuwa na mabadiliko yaliyowahi kuifanya iwe tofauti…

Read More

Trafiki 10 matatani madai ya wizi wa kimfumo

Dar es Salaam. Wizi kwa njia ya mifumo unaendelea kuota mizizi serikalini, safari hii ukiwahusisha baadhi ya askari wa usalama barabarani. Kutokana na hilo, wanazuoni wameeleza namna unavyofanyika wakipendekeza mbinu za kuudhibiti. Katika Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani, zaidi ya askari 10 kutoka mikoa ya Iringa, Pwani na Kilimanjaro wanadaiwa kuingia matatani kwa…

Read More

Naupenda uzee wa Saido | Mwanaspoti

UZEE wa Saido Ntibazonkiza ni ‘uzee wa busara’. Utu uzima dawa. Ni ile maana halisi ya hakuna kijiji kinachokosa wazee. Ligi yetu bado ina maajabu kidogo. Wachezaji wazee wanacheza vizuri na wanafunga sana kuliko vijana. Ni kweli soka letu linakua na tumeanza kupata wachezaji wengi bora licha ya kutoondoa ukweli, umri sio kigezo cha kumzuia…

Read More

PAZIA LA LIGI KUU LINAVYOFUNGWA

Dar es Salaam. Mechi za mwisho za msimu wa Ligi Kuu Bara zinaendelea kwa sasa,  kwa upande wao Yanga inaongoza mabao 2-1 yakifungwa na Aziz Ki. Aziz Ki amefikisha mabao 20 akimwacha mpinzani wake Fei Toto mwenye 18, mechi zinaendelea Mashujaa inaongoza bao 1-0 dhidi Dodoma Jiji Ihefu inaongoza bao 1-0 dhidi ya Mtibwa Sugar dakika…

Read More

Ubungo na matumaini kibao Umitashumta

LICHA ya Wilaya ya Ubungo kuanza vibaya baadhi ya michezo ikiwemo mpira wa mikono (handball) kwenye mashindano ya Umoja wa Michezo na Taaluma kwa Shule za Msingi Tanzania (Umitashumta), makocha wa timu hizo wamepanga kupindua meza katika michezo inayofuata. Ubungo  waliopewa vifaa vya michezo na Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) kwa kushirikiana na La…

Read More

TPBRC yasimamisha pambano la Mwakinyo vs Mghana

KAMATI ya mpito ya Kamisheni ya Kusimamia  Ngumi za Kulipwa Tanzania (TPBRC) imesitisha pambano la kimataifa kati ya Mtanzania, Hassan Mwakinyo dhidi ya Mghana, Patrick Allotey kufuatia promota wa pambano hilo, Shomari Kimbau wa Golden Boy Promotion kushindwa kutimizi vigezo na matakwa ya kimikataba. Pambano hilo lilipangwa kufanyika Ijumaa ya wiki hii jijini Dar es…

Read More

Yanga yampa ofa Gamondi, apokea zingine tatu Simba ikiwemo

KOCHA Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi ameipa timu hiyo mtihani mzito baada ya kupokea ofa kutoka timu tatu tofauti. Gamondi aliyesaini mkataba wa mwaka mmoja kuinoa timu hiyo akichukua mikoba ya Nasreddine Nabi aliyejiunga na FAR Rabat ya Morocco, kwa asilimia 80 ametimiza malengo aliyokuwa amepewa kabla ya kusaini mkataba ambao unamalizika mwishoni mwa msimu…

Read More

Simba yamnyatia beki wa Yanga

SIMBA imeingia anga za Azam FC, kuwania saini ya beki wa Yanga, Kibwana Shomari anayemaliza mkataba wake mwishoni mwa msimu huu na bado klabu yake haijafikia mwafaka naye. Azam FC ndio ilikuwa ya kwanza kumpelekea ofa mchezaji huyo, lakini baada ya Mwanaspoti kuchapisha taarifa hizo, Simba ikaamua kutupa ndoano na siyo mara ya kwanza kumhitaji…

Read More

Kisa Yanga… Kinzumbi aliamsha na Katumbi

WAKATI msafara wa maofisa wa Yanga ukijipanga kurudi tena kwa klabu ya TP Mazembe kuendeleza ushirikiano wao, ndani ya klabu hiyo bingwa  wa DR Congo winga wao ameliamsha rasmi. Yule winga Philippe Kinzumbi ameliamsha rasmi akiwaambia mabosi wa klabu yake kiu yake kubwa ni kutaka kuja kucheza Tanzania bila kutajwa timu, lakini Mwanaspoti linajua akili…

Read More

Simba yakwama kwa kocha Mhispaniola

UONGOZI wa Simba umeshindwa kumshawishi kocha wa makipa wa timu, Mhispania Daniel Cadena kuendelea kubaki baada ya kuandika barua ya kutimka Msimbazi. Cadena ambaye alitaja sababu za kuondoka ndani ya timu hiyo kuwa ni kuhitaji kuwa karibu na familia yake amemalizana na timu hiyo na leo anakamilisha majukumu yake kwenye mchezo wa mwisho wa ligi…

Read More