Pacome afunguka yaliyomkwamisha Yanga msimu huu

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Pacome Zouzoua, ameweka wazi kilichomuumiza na kumkwamisha msimu huu katika kupambana kufikia malengo aliyojiwekea. Muivory Coast huyo aliyejizolea umaarufu kwa mashabiki wa kikosi hicho ndani ya msimu mmoja aliotumika akitokea ASEC Mimosas, amesema pamoja na mafanikio, lakini alishindwa kucheza mechi muhimu hususan za kimataifa kutokana na majeraha. “Majeraha ni jambo lililonikwamisha…

Read More

Mziba arusha jiwe gizani Simba

KITENDO cha Simba kudondosha ubingwa mara tatu mfululizo kimemuibua staa wa zamani wa Yanga, Abeid Mziba kuhoji usajili unaofanywa na viongozi wa klabu hiyo una manufaa au ni wa mazoea. Mziba alikuwa akijibu swali la Mwanaspoti aliloulizwa kwa uzoefu wake anadhani Simba inakwama wapi? na majibu yake yalikuwa hivi: “Siwezi kuwalaumu viongozi wa Simba moja…

Read More

Coastal: Ikija pesa nzuri tunauza mastaa

BAADA ya kujihakikishia kushiriki michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika msimu ujao, Coastal Union imesema haitakubali kuondokewa kirahisi na nyota wake walioonyesha viwango bora, bali ni kwa maslahi mapana ya timu hiyo. Costal Union inatarajia kushiriki michuano hiyo kufuatia kumaliza katika nafasi ya nne kwenye Ligi Kuu, ambapo itakuwa mara ya pili kucheza kimataifa baada…

Read More

Biashara United wanaitaka timu yoyote Ligi Kuu

‘AJE yeyote’. Ni kauli na tambo za Biashara United ikieleza kuwa tayari kukabiliana na mpinzani yeyote wa Ligi Kuu katika mchezo wa mchujo (play off) kutafuta kupanda Ligi Kuu Bara msimu ujao. Biashara United ina uwezekano wa kukutana kati ya Kagera Sugar na Tabora United ambazo zipo nafasi ya 13 na 14 kwenye msimamo wa…

Read More

Watatu watajwa kuondoka Namungo, Kagere awagawa viongozi

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Simba na Singida Fountain Gate, Meddie Kagere ni miongoni mwa wachezaji watatu wanaotajwa kwamba huenda wakakatwa wakati wa dirisha lijalo.  Inaelezwa kwamba tayari uongozi wa timu hiyo umeanza kusaka mbadala wa wachezaji hao ambapo mbali na Kagere aliyekuwa anaichezea kwa mkopo wa miezi sita, pia kuna  Pius Buswita na Derick Mukombozi…

Read More

Stars kambini bila mastaa Yanga

KIKOSI cha timu ya Taifa ‘Taifa Stars’ kitakachocheza mechi ya kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Zambia kimeitwa kambini, lakini wachezaji wa Yanga watachelewa kujiunga nacho. Taarifa kutoka ndani ya Yanga zinasema wachezaji wa kikosi hicho watajiunga na wenzao watakapomaliza mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho (FA) utakaochezwa Juni 2, mwaka huu. Juni 11,…

Read More

Aliyekuwa kocha Simba afikisha siku 553 rumande 

Aliyekuwa kocha wa makipa wa Simba, Muharami Sultani (40) na wenzake wanaendelea kusota rumande kwa siku 553 sasa, kutokana na upelelezi wa shauri lao kutokamilka. Sultan na wenzake watano wanakabiliwa na mashtaka manane yakiwemo ya kusafirisha dawa za kulevya aina ya heroine zenye uzito wa kilo 34.89 pamoja na kutakatisha fedha. Kwa mara ya kwanza, washtakiwa…

Read More