Metacha atajwa kutua Ihefu | Mwanaspoti

BAADA ya uwepo wa taarifa za Yanga kutaka kuachana na kipa Metacha Mnata, timu ya Ihefu inahusishwa kuzungumza naye na huenda msimu ujao akawa sehemu ya kikosi chao. Metacha aliwahi kuichezea Singida Big Stars kabla ya kubadilishwa na kuwa Singida Fountain Gate akitokea Yanga, kabla ya kurejea tena Jangwani. Mmoja wa viongozi wa Ihefu, ameiambia…

Read More

HISIA ZANGU: Ishu ya Aziz Ki, Yanga ina rangi nyingi kama batiki

NIKAMSIKIA mahala rafiki yetu Aziz Ki akisema hajawahi kuona akipendwa mahali popote kama anavyopendwa Tanzania. Nikamsikia akisema ana ofa nzuri kutoka kwingineko, lakini anawapa Yanga kipaumbele. Nikamsikia Rais wa Yanga, Injinia Hersi Said akisema hakuna mchezaji muhimu ambaye ataondoka Yanga. Lakini kabla ya hapo nikasikia mahala ndugu yetu Ally Kamwe akidai kwamba Yanga wapo katika…

Read More

Atandikwa teke na farasi kwenye paredi la Yanga

KILE chenye raha huwa kina karaha yake. Shabiki mmoja wa Yanga amejikuta kwenye maumivu ya muda baada ya kutandikwa teke mgongoni na farasi wa Polisi. Wakati Yanga ikiendelea na msafara wake wa kulitembeza Kombe la ubingwa wa Ligi Kuu Bara, ulipofika eneo la Temeke Chang’ombe pale Chuo Cha ufundi Veta shabiki mmoja akamsogelea farasi wa…

Read More

Jurgen Klopp: Anapumzika na hela zake, jamii, bata vinamsubiri

LIVERPOOL, ENGLAND: JURGEN Klopp ameondoka England baada ya kudumu Liverpool kwa misimu tisa na anahitaji kupumzika. Klopp alisema ameushiwa nguvu ya kuendelea na kazi hiyo na sasa anaenda kutuliza akili baada ya kuichosha muda mrefu akisimamia mafanikio ya miamba hiyo Majogoo wa Liverpool na kwa moyo kunjufu klabu nzima na mashabiki wameridhika. Licha ya Liverpool…

Read More

Serikali imeonyesha nia nje, kazi kwa TFF

WIKI iliyopita Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo iliwasilisha bungeni makadirio ya mapato na matumizi yake kwa mwaka 2024/25 yaliyoonyesha ongezeko kubwa la zaidi ya asilimia 700 kutoka bajeti yake iliyozoeleka iliyokuwa ya takriban Sh35 Bilioni. Bajeti ya safari hii imefikia Sh285.3 Bilioni ukilinganisha na ya mwaka uliopita wa fedha iliyokuwa Sh35.4 Bilioni. Akiwasilisha bajeti…

Read More