Kealey:Mbongo anayeubonda kama Alves Australia

INAWEZEKANA hii ikawa ni mara yako ya kwanza kumsikia beki wa kulia wa Macarthur FC, Kealey Adamson anayecheza soka la kulipwa Australia. Kama ni hivyo basi huyu naye ni Mtanzania anacheza timu hiyo na Charles M’Mombwa ambaye amekuwa akiitwa mara kwa mara kwenye kikosi cha Taifa Stars. Wawili hao ni marafiki na huenda mbeleni wakawa…

Read More

Shangwe la Yanga Machinga, Kariakoo sio mchezo

BAADHI ya wafanya biashara wa Machinga Complex na Kariakoo, wamesimamisha shughuli zao kwa muda wakishuhudia msafara wa Yanga ukipita, huku wanaoishabikia timu hiyo wakiamsha shangwe kubwaa. Wafanya biashara hao,wamesimama kando ya barabara, wakiangalia mashabiki na basi lililobeba wachezaji wa klabu huyo, wakipita kwa shangwe ya kusherehekea ubingwa wao wa msimu huu. Yanga imefanya msafara huo,…

Read More

Konde Boy abeti kuchomewa nyumba Yanga ikifungwa

NYOTA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Rajab Abdul ‘Harmonize’ a.k.a Konde Boy au Jeshi amewapagawisha mashabiki kwa kuwaimba vionjo vya baadhio ya nyimbo zake kisha kumpandisha jukwaani Stephane Aziz Ki mbele ya mashabiki katika Makao Makuu ya klabu hiyo, eneo la Jangwani. Mara baada ya Konde kupanda jukwaani aliwachizisha wanayanga kwa kuimba kionjo cha…

Read More

MTU WA MPIRA: Azam FC inakuja taratibu, ubingwa haupo mbali

NANI anafuatilia maendeleo ya Azam FC? Najua sio watu wengi. Ni wachache sana. Kwanini? Kwa sababu sio timu inayopendwa sana. Mashabiki wengi wa soka nchini wanazipenda Simba na Yanga. Ndizo timu za mioyo yao. Azam ilivyoingia kwenye ligi kwa kishindo mashabiki wachache waliipenda. Wengine waliona ni kama timu yenye fedha imekuja kuzinyanyasa Simba na Yanga….

Read More

Hersi ajitia kitanzi kwa Aziz KI

RAISI wa Yanga, Injinia Hersi Said amewahakikishia mashabiki wa Yanga leo Jumapili kwenye sherehe za ubingwa za timu hiyo kuwa hakuna mchezaji muhimu hata mmoja  katika kikosi chao  ambaye ataondoka mwishoni mwa msimu. Hersi amesema hayo kuzima uvumi wa nyota Stephane Aziz KI ambaye amekuwa akihusisha na vigogo mbalimbali wa soka ndani na nje ya…

Read More

Job amwaga maua kwa mashabiki Yanga

NAHODHA wa Yanga, Dickson Job amezungumza kwa niaba ya wachezaji wenzake, kuwashukuru mashabiki kwa sapoti yao, tangu msimu huu kuanza hadi kufanikiwa kuchukua ubingwa. Job amesema wanatambua mchango wa mashabiki ni mkubwa,unawapa nguvu ya kujituma zaidi uwanjani. “Bado tuna kibarua kingine mbele yetu,msichoke kutuunga mkono katika fainali ya Kombe la FA tutakapokwenda kucheza Zanzibar. “Tunataka…

Read More

Yao apewa kiroba cha Nyanya Karume

MSAFARA wa Paredi la Kibingwa la Yanga inayosherehekea ubingwa wa 30 katika Ligi Kuu Bara na wa misimu mitatu mfululizo haushi vituko, kwani mara ulipoibukia pembeni ya soko la bidhaa la Karume, maeneo la Ilala, beki wa kulia wa timu hiyo,  Yao Kouassi alijikuta akipewa zawadi ya aina yake. Yao akiwa kwenye furaha na mashabiki…

Read More

Paredi la ubingwa Yanga neema tupu

KATIKA msafara wa Yanga, bodaboda wamepata fursa ya kupiga pesa, kutoka kwa mashabiki ambao wamechoka kutembea na kuamua kutumia usafiri huo. Mwanaspoti lipo kwenye msafara huo, limeshuhudia baadhi ya mashabiki wakikubaliana bei na bodaboda ambao wamebeba abiria mmoja na wengine hawana watu kabisa. Kutokana na msafara kuwa na magari mengi yanayotembea taratibu,kumekuwa na foleni, inayosababisha…

Read More