
Si Mchezo! Paredi la Yanga lasimamisha shughuli jijini Dar
PAREDI la Kibingwa, linalofanywa na Yanga katika kutembeza Kombe la Ligi Kuu ililokabidhiwa jana, limesababisha baadhi ya shughuli jijini Dar es Salaam kwa muda ili kupisha msafara wa mabingwa hao wanaoshikilia taji kwa miaka mitatu mfululizo sasa na la 30 kwao tangu 1965. Msafara huo wa Yanga unaoongozwa na Rais wa Klabu, Injinia Hersi akiwa…