Mlandege yanyooshwa, Mafunzo yabanwa Zenji

NDOTO za Mlandege kumaliza katika nafasi ya nne zimefikia tamati baada ya jana jioni kukandwa bao 1-0 na Uhamiaji, huku Mafunzo ikibanwa nyumbani na Hard Rock katika mfululizo wa mechi za lala salama za Ligi Kuu Zanzibar (ZPL). Mlandege ilikumbana na kipigo hicho cha saba kwa msimu huu kwenye Uwanja wa Mao A, huku Maafande…

Read More

Coastal Union, JKT Tanzania mechi ya nafasi

BAADA ya ushindi wa mabao 2-1 ilioupata Coastal Union dhidi ya Kagera ugenini, leo Mei 25 itakuwa katika Uwanja wa CCM Mkwakwani mjini Tanga kuikaribisha JKT Tanzania. JKT Tanzania Mchezo huo utakaozikutanisha timu hizo ikiwa ni mzunguko wa pili baada ya awali Coastal kuondoka na pointi tatu dhidi ya wanajeshi wa JKT. Coastal ipo nafasi…

Read More

Geita Gold, Singida ni vita ya kubaki Ligi Kuu

MCHEZO wa Ligi Kuu Bara kati ya Geita Gold na Singida Fountain Gate utakaopigwa leo kwenye Uwanja wa Liti mjini Singida utakuwa ni vita ya kupambana kubaki katika ligi na kwa yeyote atakayeteleza atajiweka pabaya katika janga la kushuka daraja ikiwamo kucheza mchujo (play-off). Kikosi cha Singida Fountain Gate Timu hizo ambazo zimewahi kukutana mara…

Read More

Ihefu, Dodoma vita ya kanda ya kati

KANDA ya Kati kutakuwa na vita ya kipekee. Ihefu itakuwa nyumbani uwanja wa Liti kuikaribisha Dodoma Jiji. Katika mechi hiyo itakayoanza saa 10:00 jioni itakuwa na vita ya kikanda kwani Ihefu kwa sasa maskani yake yapo Singida jirani na Dodoma iliyo makao makuu ya nchi hivyo kila timu itakuwa ikisaka heshima na ubabe katika soka…

Read More

Ni wikiendi ya Chasambi na Waziri junior

SIMBA wana Ladack Chasambi wamoto na KMC wanatambia Wazir Junior. Shughuli ipo kesho kwenye Uwanjwa Sheikh Amri Abeid.  Ni wachezaji wawili wazawa ambao katika wiki za hivikaribuni takwimu zao zinavutia viwanjani na leo wanaingia uwanjani kiloa mmoja akibeba ramani ya timu yake.  Hii itakuwa mechi ya 12 kwa Simba kukutana na KMC katika ligi huku…

Read More

Katwila, Mwangata wapewa ‘thank you’ Mtibwa

MABOSI wa timu ya Mtibwa Sugar umewapiga chini, Kocha mkuu wa timu hiyo,  Zuberi Katwila pamoja na wasaidizi wawili,  Kocha wa Makipa, Patrick Mwangata na Meneja, Henry Joseph kutokana baada ya timu na mwenendo mbaya katika michezo ya Ligi kuu Bara ikiwa inaburuza mkia kwa sasa. Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya Mtibwa kimesema, Bodi…

Read More

Mugalu afichua kinachoitesa Simba | Mwanaspoti

KIKOSI cha Simba kipo jijini Arusha na kesho jioni kitashuka  katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid kuikabili KMC katika pambano la Ligi Kuu Bara, huku straika wa zamani wa Wekundu hao, Chris Mugalu akivunja ukimya na kufichua kitu kinachowatafuna kwa mitatu mfululizo sasa. Mugalu aliyeichezea Simba kwa misimu miwili kuanzia 2020-2022 na kutwaa matatu matatu tofauti…

Read More

Gamondi ashindwa kujizuia kwa Maxi 

KOCHA wa Yanga, Miguel Gamondi ameshindwa kujizuia kwa kumtaja kiungo Maxi Nzengeli, kuwa ni miongoni mwa wachezaji waliokibeba kikosi hicho msimu huu, tofauti na mitazamo ya wengi. Maxi alisajiliwa na Yanga msimu huu akitokea AS Maniema Union ya DR Congo na kuwa mmoja wa nyota walioshiriki kwa kiasi kikubwa kuiwezesha timu hiyo kutetea ubingwa wa…

Read More