Afcon 2027 yaipaisha bajeti ya michezo

Hii ni bajeti ya fainali za Mataifa ya Afrika (Afcon) 2027 kwa Tanzania kuwa mwenyeji wa michuano hiyo. Hivyo ndivyo unaweza kusema baada Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo kuongezewa fedha kutoka Sh35.4 bilioni kwa mwaka wa fedha 2023/2024 hadi Sh285.3 bilioni kwa mwaka wa fedha 2024/2025. Bajeti hiyo kwa mwaka wa fedha 2024/2025, imewasilishwa…

Read More

Serikali kujenga viwanja vya mazoezi Dar, Arusha, Zanzibar

SERIKALI imesema katika kuelekea michuano ya Kombe la Mataifa Afrika (Afcon 2027) mbali na kujenga viwanja vitakavyotumika kwa ajili ya mechi, pia imeweka mikakati ya kujenga viwanja vitano vya mazoezi vitakavyotumiwa na timu shiriki sambamba na waamuzi. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma wakati akijibu swali la nyongeza la…

Read More

Dabo anafanikiwa hapa Azam FC

AZAM FC imejipata kiukweli dakika hizi za lala salama za ligi kuu na ingawa imeshindwa kutwaa ubingwa, ipo katika uwezekano mkubwa wa kumaliza katika nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi ikiwa na pointi 63 sawa na Simba ambayo nayo ina idadi hiyo ya pointi. Hata hivyo, Azam iko nafasi ya pili kwa vile ina…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Kinachombeba Mgunda ni mahusiano mazuri

MAMBO yamebadilika ghafla ndani ya Simba na sasa inaonekana kuwa vizuri tofauti na wiki kadhaa zilizopita pindi ilipokuwa chini ya kocha aliyeondoka, Abdelhak Benchikha. Juma Mgunda anaonekana kuibadilisha ndani ya muda mfupi aliokaa kwa kuifanya icheze vizuri na kutawala mchezo huku ikipata matokeo yanayoridisha tofauti na ilivyokuwa siku za mwishoni za Benchikha ndani ya timu…

Read More

KMKM yaishusha rasmi daraja Maendeleo Zenji

WATETEZI wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL), KMKM wameishusha rasmi Maendeleo baada ya jana kuifumua mabao 7-0 katika mechi ya ligi hiyo iliyopigwa kwenye Uwanja wa Mao A, mjini Unguja. Ushindi huo umeifanya KMKM kuchupa hadi nafasi ya pili kutoka ya nne iliyokuwapo kwa kufikisha pointi 51, lakini kipigo hicho kimeifanya Maendeleo kusalia mkiani mwa msimamo…

Read More

Kimenya fundi aliyedumu Prisons miaka 11

KAMA ilivyozoeleka kwa wachezaji wengi kuongelea historia zao na kusema walikuwa na vipaji tangu utotoni,wengine wakienda mbali zaidi na kusema wapo watu waliowaridhi katika familia zao ambao wanacheza au walicheza soka huko nyuma. Lakini hii ya aliyekuwa Mwanafunzi wa ‘ New Era’ iliyoko Tabora Mjini ambako alikwenda kwaajili ya kupata Elimu ya Kidato cha Tano,akiwa…

Read More

Ihefu yamnyatia Waziri Junior | Mwanaspoti

VIONGOZI wa Ihefu, wamevutiwa  na kiwango anachokionyesha mshambuliaji wa KMC, Waziri Junior na tayari wameanza mazungumzo naye, kama watafikia mwafaka huenda msimu ujao akawa sehemu ya kikosi chao. Junior ambaye msimu uliopita alimaliza na bao moja alifunga dhidi ya Geita Gold, Ligi Kuu inayoendelea amekuwa na kiwango kizuri hadi sasa anamiliki mabao 12 na asisti…

Read More

Saido atumia siku 150 kumpindua Baleke Simba

KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Saidi Ntibazonkiza ‘Saido’ ametumia siku 150 kumpindua aliyekuwa nyota wa kikosi hicho, Jean Baleke katika ufungaji wa mabao ndani ya timu hiyo baada ya kufunga mawili katika ushindi wa 4-1, dhidi ya Geita Gold. Katika mchezo huo wa Ligi Kuu Bara uliopigwa kwenye Uwanja wa Azam Complex Chamazi jana, Saido alifunga…

Read More