
Mkongomani atajwa kumrithi Sowah Singida Black Stars
SINGIDA Black Stars (SBS) imeanza hesabu zake kwa mastaa wa kigeni na sasa inapambana kuziba nafasi ya Jonathan Sowah kwa kufuata mshambuliaji mmoja nchini DR Congo. Sowah ametimkia Simba katika dirisha hili la usajili linaloendelea. Mshambuliaji ambaye Singida inamtaka ni Horso Muaku ambaye anaichezea FC Lupopo ya DR Congo. Muaku ndiye mshambuliaji aliyepitishwa na kocha…