Mkongomani atajwa kumrithi Sowah Singida Black Stars

SINGIDA Black Stars (SBS) imeanza hesabu zake kwa mastaa wa kigeni na sasa inapambana kuziba nafasi ya Jonathan Sowah kwa kufuata mshambuliaji mmoja nchini DR Congo. Sowah ametimkia Simba katika dirisha hili la usajili linaloendelea. Mshambuliaji ambaye Singida inamtaka ni Horso Muaku ambaye anaichezea FC Lupopo ya DR Congo. Muaku ndiye mshambuliaji aliyepitishwa na kocha…

Read More

Kakolanya, Ambokile wavunja ukimya City

BAADA ya kipa Beno Kakolanya na mshambuliaji Eliud Ambokile kila mmoja kusaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia Mbeya City katika msimu mpya wa mashindano ikiwa imerejea Ligi Kuu Bara, wachezaji hao wametoa neno wakisema wanaamini mbele yao wana kazi ngumu ya kuisaidia kufanya vizuri 2025-2026. Msimu uliopita Kakolanya alisajiliwa na Singida Black Stars akitokea Simba,…

Read More

Sowah, Kante wamgusa Fadlu | Mwanaspoti

WAKATI Simba ikiendelea na maandalizi yake ya msimu ujao huko Ismailia, Misri, maisha ya mastaa wapya yameanza kuibua vaibu kambini, huku kila mmoja akijifua kwa ajili ya kuanza mapema kabisa kulishawishi benchi la ufundi la timu hiyo. Simba inayojifua kwa ajili ya mashindano ya msimu ujao Bara na Afrika, imejifungia katika eneo tulivu ikifanya mambo…

Read More

Yanga yampandia ndege beki Msauzi

JANA, mabosi wawili wa ngazi za juu katika timu za Simba na Yanga waliziwakilisha katika droo ya mashindano ya Afrika, ambayo timu zao zinashiriki Ligi ya Mabingwa msimu ujao. Katika uchezeshwaji wa droo hiyo, rais wa Yanga, Hersi Said akiwa na mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba, Salim Abdallah ‘Try Again’ walihudhuria na kila…

Read More

Mauritania yainyoosha Afrika ya Kati

TIMU ya taifa la Mauritania imeinyoosha Jamhuri ya  Afrika ya Kati kwa  bao 1-0 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam. Mchezo huo ni wa   kundi B la mashindano ya CHAN 2024. Bao hilo la mapema la dakika ya tisa kupitia kwa Ahmed lilitosha kuzima ndoto za Afrika ya Kati  kutoboa katika…

Read More

Sikia Diarra alichomfanyia Casemiro Yanga

PALE Yanga kuna mambo buana! Kuna maisha, lakini boli pia linatembea huku mastaa wageni wakinongesha chama hilo dhidi ya wenzao waliowakuta wakiendeleza vaibu kwa mashabiki wa chama hilo linalotarajia kuanza kutetea ubingwa wake mwezi ujao. Tayari mastaa wa timu hiyo ambao hawapo katika mashindano ya Fainali za Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN),…

Read More

Kanoute wa Simba kujiunga na Azam FC

ALIYEKUWA kiungo wa Simba, Sadio Kanoute anatarajia kuwasili nchini kesho alfajiri kwa ajili ya kujiunga na Azam FC. Kanaute, raia wa Mali aliondoka nchini akiwa Simba baada ya kuhudumu kwa miaka mitatu tangu msimu wa 2021-22 akitokea Al ahly Benghazi ya Libya ambapo punde tu baada ya kusajili alifanikiwa kupata namba kikosi cha kwanza mara…

Read More

Ibenge kutesti mitambo Arachuga | Mwanaspoti

BAADA kucheza mechi ya ndani na kombaini ya Arusha, kikosi cha Azam FC chini ya kocha Florent Ibenge kinaendelea na maanzalizi kikijifua kwa mchezo mwingine wa kirafiki dhidi ya JKT Tanzania utakaopigwa Agosti 13 kabla ya kutimkia Rwanda. Azam FC ipo Arusha ambako imeweka kambi kwa siku 14 na mipango yake ni baada ya siku…

Read More

Simba, Yanga zatamba kufanya kweli CAF

BAADA ya droo ya michuano ya Shirikisho la Soka Afrika CAF kuchezeshwa hapa nchini, viongozi wa Simba na Yanga ambazo zinashiriki Ligi ya Mabingwa wamesema ziko tayari kufanya vizuri kwenye mashindano hayo. Rais wa Yanga, Hersi Said amesema maandalizi yanaendelea vizuri na kikosi hicho kipo tayari kupambana na kufanya vizuri. “Tutajiandaa vizuri na tunaamini tutafanya…

Read More