Gamondi, Aziz Ki waitisha Dodoma Jiji

HAIJAISHA hadi iishe, hivi ndio unaweza kusema baada ya kocha wa Yanga kutangaza vita kwenye mechi tatu zilizobaki ikiwemo ya kesho dhidi ya Dodoma Jiji kuwa hawajakamilisha ratiba na wanataka rekodi. Kiungo wa timu hiyo, Stephane Aziz Ki ameungana na kauli ya Gamondi akisisitiza kuwa bado wanayo kazi ya kuendelea kuwapa furaha mashabiki wao bila…

Read More

Ni sanamu! Clara afunguka kupiga picha na Ronaldo

NYOTA wa Tanzania, Clara Luvanga anayekipiga katika klabu ya wanawake ya Al Nassr nchini Saudia alipachika picha akiwa pamoja na Staa wa timu hiyo, Cristiano Ronaldo iliyoacha maswali mengi kwa mashabiki wake wengine wakidhani imehariria hapa anajibu. Mapema leo alikuwa mubashara kwenye mtandao wa instagram na kujibu ukweli wa picha hiyo baada ya shabiki mmoja…

Read More

Mwananchi, La Liga watia nguvu Umitashumta 

KATIKA dhana ya kuwezesha jamii, Kampuni ya Mwananchi Communications (MCL) kwa kushirikiana na Ligi Kuu Hispania (La Liga) wamechangia vifaa vya michezo katika Wilaya ya Ubungo, Dar es Saalam kwa ajili ya mashindano ya  Umoja wa Michezo na Taaluma kwa Shule za Msingi Tanzania (Umitashumta) yanayoendelea kwenye Uwanja wa Kinesi. Mbele ya mamia ya wanafunzi,…

Read More

Viwanja vipya vya Afcon kukamilika mwakani

Dodoma. Serikali imesema ujenzi wa viwanja vipya vya michezo kwa ajili ya Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2027), unatarajiwa kukamilika mwakani ili kupisha ukaguzi wa kikanuni. Tanzania, Kenya na Uganda zitaandaa fainali za Kombe la Mataifa Afrika mwaka 2027 ikiwa ni mara ya kwanza nchi hizo zinafanya hivyo. Hayo yamesemwa leo na…

Read More

Tabora, Ihefu mechi ya matumaini

LEO Jumatano katika Uwanja wa Ally Hassan Mwinyi, Tabora kutapigwa mechi ya kibabe kati ya wenyeji Tabora United na Ihefu ambayo imebeba matumaini makubwa ya timu hizo mbili kwa msimu huu. Mchezo huo ni wa Ligi Kuu Bara mzunguko wa 28 kwa kila timu na matokeo yoyote yatakayopatikana yatabadili mambo mengi hususan kwenye nafasi ambazo…

Read More

Dodoma Jiji, Yanga vita iko hapa, Arajiga kati

KWA mashabiki wa Dodoma Jiji wanajiuliza kwanini timu hiyo kwanini haijafunga bao katika mechi nne mfululizo za Ligi Kuu Bara zilizopita wakati kesho itakapoikaribisha Yanga saa 10:00 jioni, Uwanja wa Jamhuri Dodoma. Swali hilo linatokana na safu butu ya ushambuliaji inayoikumba timu hiyo ambapo katika michezo minne imeshindwa kabisa kufunga bao lolote tangu mara yake…

Read More

HISIA ZANGU: Inonga, Simba, siri ya mtungi aijuaye kata

HAUWEZI kuona sana kwa macho, lakini Henock Inonga Baka anavuruga vichwa vya watu wa Simba. Kuna simulizi nyingi nyuma ya pazia, lakini ukweli ni kwamba Inonga anawakoroga Simba ingawa Simba wenyewe wamesimama imara. Baada ya kichapo cha mabao 5-1 kutoka kwa mtani katika pambano la raundi ya kwanza Uwanja wa Mkapa kuna baadhi ya wachezaji…

Read More

Tanzanite! Viwanja vitatu kupewa fainali FA

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) liko mbioni kubatilisha uamuzi wa fainali ya Kombe la Shirikisho (FA) kuchezwa katika Uwanja wa Tanzanite uliopo Babati, Manyara mapema mwezi ujao huku viwanja vitatu vikitajwa kupewa nafasi kubwa kuchukua fursa hiyo. Viwanja vitatu vinavyopewa nafasi kubwa kuchukua fursa ambayo Uwanja wa Tanzanite, Babati inaelekea kuikosa ni Benjamin…

Read More