Maswali manne ishu ya Phiri kutua Yanga

WAKATI Yanga ikisubiri kujua hatIma ya sakata la kimkataba la mshambuliaji wa Azam FC, Prince Dube Inayempigia hesabu za kumchukua mwisho wa msimu huu, mabosi wa Jangwani wamerudi kwa mshambuliaji, Moses Phiri kama mbadala wa Mzimbabwe huyo. Yanga inamtaka Dube ambaye anaendelea kupambana na klabu yake akitaka kuachana nayo, lakini mabingwa hao wa Ligi Kuu…

Read More

Kikosi Yanga chamkosha kipa Tabora United

KIPA wa Tabora United, John Noble amesema Yanga ilistahili kunyakua ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu, akitaja sababu ni ubora na ilikuwa na kikosi cha wachezaji wenye uwezo mkubwa wa kuamua matokeo. Noble amesema Yanga imekuwa imara kila idara kuanzia kipa, mabeki, viungo na washambuliaji, jambo analoona limeinufanikisha kuchukua ubingwa huo. “Mfano kipa wa…

Read More

Mtibwa Sugar mambo bado magumu

Timu ya Mtibwa Sugar leo imetoka ssuluhu na Namungo katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa kwenye uwanja wa Manungu Complex, Turiani, Morogoro jambo linalozidisha presha kuhakilisha inasalia kwenye ligi  msimu ujao baada ya kuwa kwenye nafasi ya mwisho katika msimamo. Mtibwa Sugar baada ya mchezo huo uliochezwa kuanzia saa 8:00 mchana imefikisha alama 21…

Read More

Kibabage asimulia alivyojikuta hospitali, mama azungumza

BEKI wa kushoto wa Yanga, Nickson Kibabage amesema kwamba alijikuta hospitali baada ya kupoteza fahamu katika mchezo wa Kombe la Shirikisho (FA) dhidi ya Ihefu SC jana, lakini hakumbuki nini kilitokea kabla ya hapo. Kibabage aliyeanguka mwishoni mwa kipindi cha kwanza cha mchezo huo, mwanzoni mwa msimu huu alikuwa akiichezea Singida Fountain Gate kabla ya…

Read More

Mtibwa Sugar mambo mado magumu

Timu ya Mtibwa Sugar leo imetoka ssuluhu na Namungo katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa kwenye uwanja wa Manungu Complex, Turiani, Morogoro jambo linalozidisha presha kuhakilisha inasalia kwenye ligi  msimu ujao baada ya kuwa kwenye nafasi ya mwisho katika msimamo. Mtibwa Sugar baada ya mchezo huo uliochezwa kuanzia saa 8:00 mchana imefikisha alama 21…

Read More

Prisons yachapwa Sokoine | Mwanaspoti

Uwanja wa Sokoine umeendelea kuwa wa bahati kwa Mashujaa baada ya leo kuikanda mabao 2-1 Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu Bara na kuongeza matumaini ya kubaki kwenye ligi. Mashujaa iliingia uwanjani ikikumbuka kuchapwa mabao 2-0 na wapinzani hao walipokutana katika mzunguko wa kwanza kwenye Uwanja wa Lake Tanganyika mjini Kigoma na leo wamelipa…

Read More

MWENGE WA UHURU WAWASILI MKOA WA KASKAZINI UNGUJA

Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Idrisa Kitwana Mustafa kushoto akimkabidhi Mwenge wa Uhuru Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Rashid Hadidi Rashid ili kuukimbiza katika Mkoa wake na Kutembelea Miradi mbalimbali Zanzibar Ukiwa na Ujumbe “Tunza Mazingira na Shiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa Ujenzi wa Taifa Endelevu” Na Sabiha Khamis Maelezo Kiongozi…

Read More

Paredi la Yanga kuanzia kwa Mkapa

KLABU ya Yanga leo imetoa ratiba ya sherehe zake za ubingwa wa Ligi Kuu Bara, Mei 25, mwaka huu zikiongozwa na paredi kutoka Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam hadi makau ya klabu hiyo, Jangwani. Awali Yanga iliwasilisha maombi kwa Bodi ya Ligi (TPLB) kuomba michezo miwili dhidi ya Tabora United na Tanzania Prisons kukabidhiwa…

Read More