
Kazi ipo, Mrithi wa Lomalisa na upepo wa Wakongomani
MASHABIKI wa Yanga kwa sasa wana raha mara mbilimbili, mojawapo ikiwa ni kutokana na kufanya vizuri kwa timu yao na pili mchakato wa kuboresha kikosi chao umeanza kwa ajili ya msimu ujao. Rais wa Yanga, Hersi Said ameonakana DR Congo kwa ajili ya kumalizana na baadhi ya wachezaji ambao kocha wa timu hiyo, Miguel Gamondi…