Banda afunguka kuhusu ndoa yake mpya

BAADA ya maswali mengi juu ya ndoa ya beki wa klabu ya  Richards Bay inayoshiriki Ligi Kuu Afrika Kusini, Mtanzania Abdi Banda, mwenyewe kajitokeza na kufafanua ilivyokuwa. Staa huyu amethibitisha kuachana na mkewe wa kwanza, Zabibu Kiba ikiwa ni moja ya swali linaloulizwa na mashabiki wengi hususan mitandaoni, baada ya kuona picha za harusi yake…

Read More

Ligi Kuu Zenji sasa ni mwendo wa hat trick tu!

LIGI Kuu ya Zanzibar (ZPL) inazidi kuyoyoma, huku ikishuhudiwa idadi ya hat trick zikiongezeka baada ya jana Jumapili kupigwa nyingine mbili na kufanya idadi sasa ifikie sita wakati timu za Mlandege na Zimamoto zikipata ushindi mnono mbele ya vibonde Maendeleo na Jamhuri za Pemba. Mohamed Ali Mohamed wa Mlandege na Mgaza Seleman Ramadhan wa Zimamoto…

Read More

Mkenya ashangazwa na kipigo, aipania ligi

Kocha Mkuu wa Coastal Union, David Ouma amesema ameshangazwa na matokeo waliyopata dhidi ya Azam FC katika mchezo wa Kombe la Shirikisho (FA), akieleza kuwa ni muda mrefu tangu kuruhusu idadi kubwa ya mabao. Coastal Union ikicheza jana kwenye Uwanja CCM Kirumba jijini hapa ilikumbana na kichapo cha 3-0 dhidi ya Azam kwenye mchezo wa…

Read More

Dabo aitumia salamu Yanga fainali FA

BAADA ya kutinga fainali ya Kombe la Shirikisho, Kocha wa Azam, Youssouph Dabo amesema kazi bado haijaisha kwani msimu huu wanalitaka kombe la michuano hiyo. Azam FC ilifuzu hatua hiyo kwa ushindi wa 3-0 dhidi ya Coastal Union na sasa watakutana na Yanga iliyofanya hivyo kwa ushindi wa bao 1-0 mbele ya Ihefu. Fainali hiyo…

Read More

Samatta arejea Ligi ya Mabingwa Ulaya

Nahodha wa timu ya Taifa (Taifa Stars), Mbwana Samatta amehitimisha vyema msimu wa 2023/2024 baada ya timu yake PAOK kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Ugiriki kwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 ugenini dhidi ya Aris, jana. Matokeo hayo yameifanya PAOK kumaliza ikiwa kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu ya Ugiriki ikikusanya pointi 80,…

Read More

Ihefu yafunguka ishu ya Banda

UONGOZI wa Ihefu umeweka wazi kushtushwa na taarifa zinazosambaa zikimhusu aliyekuwa nyota wa zamani wa Simba, Mmalawi, Peter Banda za kudai kusainishwa mkataba na timu hiyo kisha kutolipwa fedha za usajili. Banda aliyewahi kuichezea Simba kwa misimu miwili kuanzia mwaka 2021 hadi 2023 kisha kurudi Nyassa Big Bullets ya kwao Malawi, alidai alisainishwa na Ihefu…

Read More

Boka, Yanga mambo safi, kigogo atua na ndege binafsi

YANGA nzima jana ilikuwa Arusha ikitafuta tiketi ya kucheza fainali ya tano ya Kombe la Shirikisho (FA) ndani ya miaka tisa, lakini mabosi wake wakirudi tu mjini, watakutana na bilionea mmoja Mkongomani anawasubiri kwa jambo moja tu zito la usajili wa beki wao mpya. Bilionea Jacques Kyabula Katwe yuko nchini tangu jana na alitua na…

Read More

Simba yafuata straika Mzambia, aliyewafunga 2021

SIMBA imefungua mazungumzo na mshambuliaji  Mzambia, Ricky Banda kwa hesabu za kumshusha nchini katika kuboresha safu yao ya ushambuliaji iliyokuwa na kiwango kibovu msimu huu. Banda ambaye anaitumikia Red Arrows ya Zambia, kwa sasa ndiye roho ya Wazambia hao katika kikosi chao ndani ya Ligi ya Zambia na Simba inapiga hesabu za kumshusha nchini wakifungua…

Read More