Namba za Azam siku 108 bila Dube

ZIMETIMIA siku 108 ambazo ni sawa na miezi mitatu bila uwepo wa mshambuliaji Prince Dube ndani ya kikosi cha Azam FC, lakini kinachofurahisha ni Feisal Salum ‘Fei Toto’ kuendelea kukimbiza tuzo ya ufungaji bora ya Ligi Kuu Bara akiwa na mabao 15 sawa na Aziz KI wa Yanga. Mara ya mwisho kwa Dube kuitumikia Azam…

Read More

Ken Gold yataka mastaa wa Ligi Kuu

Ken Gold imesema itakuwa makini kufuatilia mechi zilizobaki za Ligi Kuu Bara na Kombe la Shirikisho (FA) ili kupata wachezaji watakaojumuishwa katika kikosi cha timu hiyo msimu ujao. Pia imesisitiza kuwa siyo kwa timu kubwa za Simba na Yanga, bali hata nyingine zinazocheza Ligi Kuu ikiwamo KMC, Coastal Union, Prisons na Ihefu itazifuatilia ili kuhakikisha…

Read More

Frank Komba na rekodi ya miaka kumi beji ya Fifa

Jina la Frank Komba sio geni na linafahamika sana na wadau wa mpira wa miguu kutokana na kile ambacho amekuwa akiufanyia mchezo huo. Huyu ni mwamuzi msaidizi wa kimataifa wa Tanzania ambaye pia ni mtumishi wa Jeshi la Polisi huku pia akiwa Wakili kitaaluma. Mwanzoni mwa mwaka huu, Komba aliandika rekodi moja ya kibabe ambayo…

Read More

Bajana, Malckou wafanyiwa upasuaji, kukaa nje miezi minne

Klabu ya Azam FC imethibitisha kuwa itawakosa nyota wa kiungo mkabaji, Sospeter Bajana na beki wa kati, Malickou Ndoye kwa miezi minne baada ya kufanyiwa upasuaji wa majeraha yaliyokuwa yakiwasumbua. Nyota hao wamefanyiwa upasuaji wa maungio ya mifupa ya nyonga ya kulia na kushoto (pubis symphysis), uliofanyika nchini Afrika Kusini katika Hospitali ya Life Vincent…

Read More

Coastal, Azam nusu fainali ya kibabe FA

KESHO mchezo wa nusu fainali ya kwanza Kombe la Shirikisho utachezwa katika Uwanja wa CCM Kirumba, jijini Mwanza kati ya Coastal Union dhidi ya Azam FC, huku vita kubwa ikiwa ni kusaka nafasi ya kucheza Kombe la Shirikisho Afrika msimu ujao. Azam FC inakamata nafasi ya pili kwenye Ligi Kuu Bara ikiwa na pointi 60…

Read More

Yanga yaitisha Simba kwa Inonga, mkanda mzima upo hivi

HENOCK Inonga ameomba udhuru aende Ufaransa kupumzika, lakini kuna machale yanawacheza viongozi wa Simba juu ya uamuzi wa beki huyo kufosi kuondoka hasa wakikumbuka awali kabla ya kutua Msimbazi ilibaki kidogo atue Jangwani. Mkongomani huyo ameomba kuondoka licha ya kwamba ana mkataba wa mwaka mmoja huku klabu inayohusishwa nae ikiwa ni FAR Rabat ya Morocco,…

Read More

NYUMA YA PAZIA: Mbappe na karatasi zake za ushahidi, kuna maswali?

“..USHAHIDI upi mwingine unahitaji?” Hakusema mdomoni. Moyo wake ulikuwa unaongea. Asingeweza kutamka hivyo mdomoni wakati akirekodi video yake ya kuaga. Kylian Mbappe. Amewaaga PSG mapema wiki hii. Anaondoka zake PSG. Lilikuwa suala la muda tu. Alionekana mtulivu wakati akiaga. Mara ya mwisho serikali ya Ufaransa iliingilia kati kuondoka kwake. Alipoamua kubaki ikawa sherehe kwa Wafaransa….

Read More