
JELLAH: Nahodha Stars aliyeteseka kwa miaka 20 kitandani
NGULI wa zamani wa Taifa Stars, Jella Mtagwa alifariki dunia juzi jijini Dar es Salaam baada ya kuteseka kitandani kwa miaka 20. Tunarudia sehemu ya mahojiano yake na Mwanaspoti akiwa kitandani nyumbani kwake Mei 27, 2019. “Acheni Mungu aitwe Mungu.” Hiyo ni kauli ya aliyekuwa nahodha wa Taifa Stars, Mtagwa iliyoshiriki fainali za Kombe la…