AKILI ZA KIJIWENI: Geita Gold tuwaweke katika maombi

BAADA ya kutoka sare ya bila kufungana na Coastal Union, haraka nikakimbilia msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara ili nione Geita Gold iko nafasi ya ngapi na ina pointi ngapi. Matokeo hayo kumbe hayakuwa na faida kubwa kwa sababu yaliifanya timu hiyo kubakia katika nafasi ya 15 kwenye msimamo wa ligi ikiwa imekusanya pointi 24….

Read More

Chilambo atulizwa Azam FC | Mwanaspoti

UONGOZI wa Azam FC, umemuongeza mkataba beki wa kulia, Nathaniel Chilambo ambaye ataendelea kubaki katika viunga vya Azam Complex hadi 2026. Chilambo alijiunga na Azam FC, Julai 6, 2022 akitokea Ruvu Shooting ambayo sasa inashiriki Championship baada ya kushuka Ligi Kuu Bara. Kwa mujibu wa mtandao wa kijamii ‘Instagram’ wa timu hiyo umethibitisha kumuongeza mkataba…

Read More

Msimu wa pili tuzo za wanamichezo BMT Juni 9

Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital Msimu wa pili wa tuzo za wanamichezo bora za Baraza la Michezo la Taifa (BMT) kwa mwaka 2023 , unatarajia kufanyika Juni 9, 2024, zikihusisha wanamichezo waliofanya vizuri Kimataifa ambapo  jumla ya vipengele 16 vitashindaniwa. Akizungumza na waandishi wa habari leo Mei 15, 2024 jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa…

Read More

Nabi: Yanga hii itachukua sana Bara 

KOCHA wa zamani wa Yanga, Nasreddine Nabi ametoa tahadhari kwa timu zingine Ligi Kuu Bara kutokana na moto ilionao Yanga akisema kama hazitakaza, basi ubingwa zitausikia katika bomba kwa miaka mingi ijayo. Nabi ambaye msimu uliopita aliumaliza kwa mafanikio akiwa na kikosi hicho kwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara, Kombe la Shirikisho (FA), Ngao…

Read More

Tuzo za wanamichezo bora BMT zaiva

WIZARA ya Utamaduni, Sanaa na Michezo kupitia Baraza la Michezo la Taifa (BMT), limeandaa tuzo za wanamichezo bora mwaka 2023 zinazotarajiwa kufanyika Juni 9, 2024 kwenye Ukumbi wa Super Dome uliopo Masaki, Dar es Salaam. Tuzo hizo ni mara ya pili kufanyika baada ya mwaka jana, Machi 17, 2023 kwenye Ukumbi wa Mlimani City. Mwenyekiti wa BMT,…

Read More

Hakuna aliye salama Ligi Kuu Bara

LIGI Kuu Bara inakwenda ukingoni huku ikibaki kati ya michezo mitatu hadi minne kwa baadhi ya timu ili kumaliza msimu huu, lakini mbali na bingwa kupatikana ambaye ni Yanga aliyebeba mara tatu mfululizo, kuna vita kubwa ipo katika nafasi ya kushuka daraja. Katika msimamo wa Ligi Kuu Bara kuanzia timu inayoshika nafasi ya tano hadi…

Read More

Gamondi, Nabi kuna ubabe unafikirisha | Mwanaspoti

HAKUNA ubishi juu ya kiwango bora kilichoonyeshwa na Yanga msimu huu na kufanikiwa kutetea ubingwa wa Ligi Kuu ambao umechagizwa na wachezaji mbalimbali katika kikosi hicho akiwemo Kocha Mkuu, Miguel Gamondi, aliyerithi mikoba ya Nasrreddine Nabi aliyetimka baada ya msimu uliopita kumalizika. Gamondi, raia wa Argentina huu ni msimu wake wa kwanza kuifundisha Yanga na…

Read More

Gamondi: Nyie subirini, bado moja

KOCHA Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi amesema walistahili kutwaa taji la Ligi Kuu, huku akisisitiza kwamba kituo kinachofuata ni Kombe la Shirikisho la Azam (ASFC). Yanga wametwaa ubingwa wakiwa na mechi tatu mkononi baada ya kufikisha pointi 71 ambazo washindani wake Azam FC na Simba hata wakishinda mechi zao zote zilizobaki hawawezi kufikia. Akizungumza na Mwanaspoti,…

Read More

Mambo matano yaliyoipa Yanga ubingwa Bara 

KILICHOBAKI kwa Yanga ni sherehe tu za ubingwa wa Ligi Kuu Bara ambao imeutwaa Mei 13 baada ya kuifunga Mtibwa Sugar mabao 3-1, huku pia ikiwa na hesabu za kubeba Kombe la Shirikisho (FA) ambalo ipo katika nusu fainali itakayocheza Mei 19 dhidi ya Ihefu. Mashabiki wa Yanga kwa sasa wanatembea vifua mbele huku wakiwatambia…

Read More