Machupa: Simba ya 1999 inaweza kujirudia

WAKATI Simba ikikosa ubingwa wa Ligi Kuu Bara kwa msimu wa tatu mfululizo, mshambuliaji wa zamani wa Simba, Athuman Machupa ameitaka usajili ujao kuongeza nguvu eneo la ushambuliaji, kiungo na beki wa kati kwa kutafuta wachezaji bora watakaoisaidia kubeba ubingwa. Machupa ambaye amestaafu soka la ushindani, amesema kati ya mwaka 1999 hadi 2007 Simba ilisuka…

Read More

Azam FC yamvalia njuga Manula

AZAM FC imedhamiria kwa dhati kumrudisha aliyekuwa kipa namba moja wa kikosi hicho, Aishi Manula baada tu ya msimu huu kuisha. Taarifa kutoka ndani ya timu hiyo zimekaririwa na Mwanaspoti kwamba viongozi wanataka kumrejesha nyota huyo aliyeondoka ndani ya kikosi hicho Agosti 9, 2017 huku akiwa ni moja ya makipa bora nchini kutokana na kiwango…

Read More

Yanga yatwaa ubingwa wa 30, Mtibwa majonzi

SASA ni rasmi kwamba Yanga ni bingwa mpya wa Ligi Kuu Bara baada ya jana kuwachapa Mtibwa mabao 3-1 kwenye Uwanja wa Manungu Turiani Mkoani hapa. Mabadiliko matatu yaliyofanywa na Yanga kipindi cha pili, yalitosha kubadili matokeo kwenye mchezo huo ambao Mtibwa ilikwenda mapumziko ikiongoza bao 1-0 ambalo liliwapa matumaini kwamba wangeweza kushinda na kuendeleza…

Read More

Hizi hapa sababu tatu Matampi kuvaa jezi ya Simba

SIMBA inahaha kumbakisha kipa wake namba moja, Ayoub Lakred ambaye anatingisha anataka kuondoka na kurejea Morocco lakini kukabiliana na presha hiyo, Wekundu hao wameanza mazungumzo na kipa namba mbili kwa ubora kwenye ligi kwa sasa, Ley Matampi. Uamuzi huo wa Simba unakuja huku kukiwa na sababu tatu zinazombeba Matampi kuwa na nafasi kubwa ya kuvaa…

Read More

Sokoine inavyozikimbiza timu Ligi Kuu

LICHA ya Mbeya kuendelea kuandika historia kwa kupandisha timu Ligi Kuu Bara miaka ya karibuni, sintofahamu imebaki jinsi Uwanja wa Sokoine uliopo mjini humo unavyokimbiwa. Mbeya ni miongoni mwa mikoa nchini yenye historia tamu kupandisha timu Ligi Kuu ikiifukuzia Dar es Salaam ambao ni kinara kwa kuwa na idadi kubwa. Kwa sasa Dar es Salaam…

Read More

POWER IRANDA: Hizi ndizo siri za kiduku katika ngumi

UNAPOLITAJA jina la Twaha Kiduku, basi huwezi kuacha kumtaja kocha wake, Chanzi Mbwana Chanzi maarufu kama Power Iranda kwa kuwa ndiye aliye nyuma ya mafanikio ya mbabe huyo wa masumbwi nchini. Power Iranda amekuwa taswira ya Kiduku anapokuwa nje ya ulingo na ndiye anayehakikisha bondia huyo anapigana masumbwi na kupata mafanikio katika mchezo huo ambao…

Read More

RC Malima atamani watalii zaidi Morogoro

Morogoro. Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Adam Malima amewataka waandishi wa habari kufanya utafiti wa kina wenye lengo la kuibua vivutio vipya ya utalii, ikiwa ni njia ya kutanua wigo ya kuhamasisha watalii zaidi kutembelea vivutio vya utalii. Akizungumza na Mwananchi baada ya ufunguzi wa mafunzo ya nafasi ya mwandisi wa habari sekta ya utalii,…

Read More