
Simba, Yanga, Azam na Singida kuanzia ugenini
DROO ya michuano ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF) ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho msimu ujao tayari zimemalizika, ikishuhudiwa miamba ya soka nchini Yanga, Simba, Azam FC na Singida Black Stars zikipangwa kuanzia ugenini. Mabingwa wa Ligi Kuu Bara msimu uliopita na watani zao Simba iliyomaliza nafasi ya pili…