Mgunda alivyowaficha mastaa wa Azam FC

UWEPO wa Fabrice Ngoma, Sadio Kanoute na Mzamiru Yassin katika eneo la kiungo cha Simba kuiwapa wakati mgumu Azam FC ambayo ilikumbana na kipigo cha mabao 3-0 jana, Alhamisi, katika mchezo wa vita ya kuwania kumaliza msimu kwenye nafasi mbili za juu katika Ligi Kuu Bara. Kabla ya mchezo huo ambao ulichezwa kwenye Uwanja wa…

Read More

African Sports warejea Championship | Mwanaspoti

Tanga. TIMU za African Sports ‘Wanakimanumanu’ na Kiluvya zimefanikiwa kupanda Ligi ya Championship baada ya kutinga fainali ya First League (zamani Ligi Daraja la Pili), ambapo kesho, Jumamosi zitakutana kwenye mchezo wa fainali utakaopigwa kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga ili kutafuta bingwa wa ligi hiyo msimu huu. Kiluvya imefika hatua hiyo kwa mikwaju ya penalti 5-3…

Read More

Simba Queens kama Yanga tu Chamazi

KAMA ilivyo kwa Mabingwa Ligi Kuu Bara, Yanga wamekuwa na bahati kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi ndivyo ilivyo kwa Simba Queens na mechi nane ilizocheza hapo imeshinda zote. Simba hadi sasa iko nafasi nzuri ya kutwaa ubingwa wa Ligi ya Wanawake (WPL) ikiongoza msimamo na pointi 37 baada ya mechi 13 ikishinda 12 na…

Read More

Pamba yavunja kambi, bodi yaachiwa msala

KIKOSI cha Pamba Jiji kilivunja kambi yake juzi (jumatano) wachezaji na benchi la ufundi wakipewa mapumziko na kuruhusiwa kuondoka, huku hatima ya kinachofuata ikiachiwa bodi ya klabu hiyo. Pamba uilivunja kambi yao baada ya mchezo maalum wa kukabidhi ubingwa wa Championship, kati ya timu hiyo dhidi ya Ken Gold (bingwa) kwenye Uwanja wa Azam, jijini…

Read More

Vitengo vya habari viendeshwe kwa weledi

KLABU za michezo ni taasisi kama taasisi nyingine zenye malengo ya kufikia na wadau wa kutumikia. Zinaweza kuwa taasisi za hiari au za kibiashara kutegemea walivyoamua waendeshaji wake. Klabu yoyote ya michezo ingependa ikue katika kufikia wadau wake. Ulimwengu wa sasa hauruhusu taasisi kuwasha taa yake na kuifunika. Mawasiliano yamekuwa ni mahitaji muhimu kwa taasisi…

Read More

Simba kama Yanga tu Chamazi

KAMA ilivyo kwa Mabingwa Ligi Kuu Bara, Yanga wamekuwa na bahati kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi ndivyo ilivyo kwa Simba Queens na mechi nane ilizocheza hapo imeshinda zote. Simba hadi sasa iko nafasi nzuri ya kutwaa ubingwa wa Ligi ya Wanawake (WPL) ikiongoza msimamo na pointi 37 baada ya mechi 13 ikishinda 12 na…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Hasira za Gamondi zipo kwa wengi

JUZI pale Uwanja wa Azam Complex, Chamazi ilikuwa imebaki kidogo watu waone Kocha wa Yanga, Miguel Gamondi akimchapa vibao refa Abdallah Mwinyimkuu. Ilikuwa ni baada ya kumalizika kwa mechi baina ya timu yake na Kagera Sugar ambayo Yanga iliibuka na ushindi wa bao 1-0. Kocha huyo raia Argentina alionekana kutofurahishwa na uamuzi wa kukataa bao…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Coastal wanapiga hela kwa akili

MWAKA 2020, Coastal Union ilipata fedha nyingi kupitia mauzo ya beki Bakari Mwamnyeto ambayo inakadiriwa kufikia takribani Sh 150 milioni. Coastal ilivuna fedha hizo nyingi kwa vile Mwamnyeto alikuwa bado na mkataba umesalia wa kuitumikia timu hiyo kwa miaka miwili zaidi. Kingine ambacho kilimfanya beki huyo wa kati kuwa lulu sokoni ni ushindani wa Yanga…

Read More

Simba yaipiga Azam, Fei akosa penalti

WEKUNDU wa Msimbazi, Simba SC wameendeleza moto wao wakiwa chini ya Kaimu Kocha Mkuu, Juma Mgunda kufuatia kuibuka na ushindi wa tatu mfululizo katika mchezo wa vita ya nafasi dhidi ya Azam ambapo imeshinda kwa mabao 3-0 mchezo uliochezwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa. Mabao ya Sadio Kanoute dakika ya 63,  Fabrice Ngoma dakika ya…

Read More

Ibenge afunguka dili la kutua Simba, naachaje…!

Kocha Mkuu wa Al Hilal ya Sudan, Florent Ibenge amesema itakuwa ni heshima kwake endapo atapata nafasi ya kuinoa timu mojawapo za Ligi Kuu Tanzania haswa Simba yenye nafasi ya kuwania mataji na kushiriki Ligi ya Mabingwa Afrika. Baada ya uwepo wa tetesi za Simba kuhitaji huduma yake ili kuziba pengo la aliyekuwa kocha wa…

Read More