
Mgunda alivyowaficha mastaa wa Azam FC
UWEPO wa Fabrice Ngoma, Sadio Kanoute na Mzamiru Yassin katika eneo la kiungo cha Simba kuiwapa wakati mgumu Azam FC ambayo ilikumbana na kipigo cha mabao 3-0 jana, Alhamisi, katika mchezo wa vita ya kuwania kumaliza msimu kwenye nafasi mbili za juu katika Ligi Kuu Bara. Kabla ya mchezo huo ambao ulichezwa kwenye Uwanja wa…