Yanga yafuata kipa jeshini, ni mrithi wa Metacha

MOJA ya eneo ambalo Yanga itaingiza ingizo jipya msimu ujao ni katika nafasi ya kipa na hesabu zao zimeenda kwa kipa namba moja wa timu ya Jeshi la Magereza, Tanzania Prisons. Mabosi wa Yanga wanajipanga kuvamia katika klabu hiyo yenye maskani yake mkoani Mbeya ikimfuata kipa namba moja wa kikosi hicho, Yona Amos ambaye msimu…

Read More

Suluhu yaziachia maswali Ihefu, JKT Tanzania

MSIMU huu wa 2023/24, hakuna mbabe kati ya Ihefu SC na JKT Tanzania baada ya timu hizo kushindwa kufungana katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa leo jioni kwenye Uwanja wa Liti mkoani Singida huku suluhu hiyo ikiziachia maswali ya kwamba itakuwaje mechi nne zilizosalia? Leo timu hizo zilikutana kwa mara ya pili msimu huu…

Read More

Mtibwa bado wanaitaka Ligi Kuu

HAIJAISHA hadi iishe ndiyo kauli wanayoishi nayo timu ya Mtibwa Sugar huku matumaini yao makubwa yakiwa ni kwamba msimu ujao wataendelea tena kukiwasha Ligi Kuu ya NBC licha ya kwamba hivi sasa wana hali mbaya. Timu hiyo yenye maskani yake Turiani mkoani Morogoro, imepata matumaini hayo baada ya leo Mei 9, 2024 kuibuka na ushindi…

Read More

“Tumefanikiwa kuwarudisha tembo 61 Hifadhini” Waziri Kairuki

Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii imedhamiria kutatua changamoto ya migongano baina ya binadamu na wanyamapori huku ikisisitiza kuwa katika bajeti ya mwaka wa fedha 2024/2025 imeweka kipaumbele katika kutatua changamoto hiyo. Hayo yamesemwa na Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) wakati wa zoezi la kuwarudisha tembo hifadhini lililofanyika Wilaya ya…

Read More

Bacca: Mama yangu anamkubali Job

BEKI kisiki wa Yanga, Ibrahim Abdullah ‘Bacca’ amesema mama yake ambaye ni shabiki mkubwa wa Simba, anavutiwa na aina ya uchezaji wa beki wa kati na nahodha msaidizi wa Yanga, Dickson Job. Bacca alisema hayo jana baada ya kutamatika kwa mchezo wa Ligi Kuu ya NBC ambao Yanga iliondoka na ushindi wa bao 1-0 dhidi…

Read More

Simba yakomaa na Kibu | Mwanaspoti

KWA hali ilivyo kuna uwezekano Kibu Denis akasalia Simba msimu ujao baada ya viongozi kufanikiwa kumshawishi yeye na wakala wake kwa asilimia kubwa. Mwanaspoti ndilo lilikuwa la kwanza kukupa taarifa zote kuhusu Kibu kuanzia mazungumzo ya mkataba mpya ndani ya Simba baada ya ule wa awali kuwa mbioni kumalizika mwishoni mwa msimu huu. Dili la…

Read More

Job afichua ishu Yanga | Mwanaspoti

Beki wa Yanga, Dickson Job amesema wamekuwa wakionyesha hali ya kupambana zaidi pindi wanapokutana na timu inayozuia muda mwingi tofauti na wale wanaofunguka. Nyota huyo ametoa kauli hiyo baada ya kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Kagera Sugar kwenye Uwanja wa Azam Complex Chamazi na kuiweka Yanga katika nafasi nzuri zaidi ya kutetea ubingwa…

Read More

Rekodi tatu Yanga ikiukaribia ubingwa

USHINDI wa bao 1-0 ambao Yanga iliupata juzi Jumatano dhidi ya Kagera Sugar kwenye Uwanja wa Azam Complex Chamazi, ulikifanya kikosi hicho cha Miguel Gamondi kuweka rekodi tatu tofauti huku wakiendelea kuunyemelea ubingwa wa 30 wa Ligi Kuu Bara. Rekodi ya kwanza ambayo Yanga imeweka kutokana na bao la Mudathiri Yahya dakika ya 83 katika…

Read More

Mfumo wa wanachama unavyopoteza timu Ligi Kuu

Imebaki historia. Ndivyo unavyoweza kusema kuelezea maisha yanavyokwenda kasi hasa kwa timu zilizokuwa chini ya wanachama ambazo zilitisha miaka ya nyuma na sasa imebaki stori. Hii ni kutokana na zama kubadilika hasa baada ya teknolojia mpya ya mfumo wa mabadiliko ya kiuendeshaji kuziacha nyuma timu ambazo zilitegemea nguvu ya wanachama. Licha ya kwamba nguvu ya…

Read More