Yanga kikitoka chuma, kinashuka chuma zaidi

Yanga wana msemo wao mmoja maridadi sana ‘Daima Mbele Nyuma Mwiko’, yaani hawana nafasi ya kujuta na wako tayari kuchukua maamuzi yoyote magumu na baada ya hapo hawaangalii nyuma. Msemo wao huu kuna namna umekuwa ukiwaheshimisha katika misimamo yao katika mambo mbalimbali ndani ya klabu yao na kama hujajua wanamaanisha nini, cheki haya mambo sita…

Read More

Chukwu amtaja Aziz KI, afunguka dili la Yanga

MORICE Chukwu ni majina ambayo yalitikisa wakati wa dirisha dogo la usajili akihusishwa na timu mbalimbali nchini ikiwemo Yanga lakini baadae akaibukia Singida Big Stars na sasa Ihefu. Kiungo huyo aliwavutia mabosi mbalimbali wa klabu nchini baada ya kuonyesha kiwango bora alipokuja na timu yake ya zamani Rivers United kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho…

Read More

Mashujaa yalipa kisasi, yaandika rekodi

MASHUJAA FC wamefanikiwa kulipa kisasi mbele ya KMC FC baada ya leo kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Lake Tanganyika mkoani Kigoma. Mchezo huo wa mzunguko wa pili, Mashujaa FC imetakata nyumbani kupitia mabao ya Jeremanus Josephat dakika 12, Hassan Cheda (dk 22) na Reliants Lusajo…

Read More

Lawi rasmi ni Mnyama, mkanda mzima upo hivi!

DILI LIMEKAMILIKA: Ndivyo ilivyo baada ya klabu ya Simba kumsajili beki wa kati wa Coastal Union, Lameck Lawi kwa  mkataba wa miaka miwili kwa ajili ya kuitumikia timu hiyo msimu ujao. Lawi ambaye anamudu kucheza beki wa kati ataungana na Che Malone kucheza eneo hilo baada ya Henock Inonga na Keneddy Juma kutajwa kuondoka ndani…

Read More

Simba yatoa masharti mazito kwa Kibu, Mwamyeto

LAZIMA yafanyike maamuzi magumu. Simba wamemwambia wakala wa mastaa wawili Bakari Nondo Mwamnyeto na Kibu Denis achague moja au akose yote. Ambakishe Kibu pale Simba ili wamnunue Nondo kwa pesa nzuri au amuachie Kibu aende Yanga na wao Simba wamnunue Nondo kwa pesa ya chini. Sasa hapo ndipo wakala huyo wa wachezaji hao, Carlos Slyvester…

Read More

Lawi rasmi ni Mnyama | Mwanaspoti

DILI LIMEKAMILIKA: Ndivyo ilivyo baada ya klabu ya Simba kumsajili beki wa kati wa Coastal Union, Lameck Lawi kwa  mkataba wa miaka miwili kwa ajili ya kuitumikia timu hiyo msimu ujao. Lawi ambaye anamudu kucheza beki wa kati ataungana na Che Malone kucheza eneo hilo baada ya Henock Inonga na Keneddy Juma kutajwa kuondoka ndani…

Read More

Refa Msudani kuamua Azam vs Simba, viungo kuibeba mechi

ITAKUWAJE? Ndilo swali linalogonga vichwa vya mashabiki wa soka nchini kuhusu kukosekana kwa mshambuliaji wa Azam FC Mzimbambwe Prince Dube katika mechi ya leo ambayo wakali hao wa Chamazi watakuwa wenyeji uwanja wa Benjamin Mkapa kuikaribisha Simba ambayo Dube ameifunga katika mechi nne zilizopita mfululizo kabla ya kujiweka kando na timu hiyo. Mgongano wa maslahi…

Read More

Ngoma aipa masharti Simba | Mwanaspoti

KIUNGO mkabaji wa Simba, Fabrice Ngoma amewapa masharti uongozi wa klabu hiyo, kama wanataka aendelee kusalia kikosini hapo, wasajili wachezaji wenye moyo wa kuipambania timu. Hivi karibuni kulikuwepo na tetesi za staa huyo kuletewa ofa na Pyramid, Al Alhy na Raja Casablanca, ila alitaka maombi hayo yapelekwe kwa uongozi wa Simba, kutokana na kuwa na…

Read More