Copco yashinda, yasaka  sare kubaki Championship

Mwanza. COPCO FC imeanza kwa ushindi nyumbani ili kubaki Ligi ya Championship kwa kuifunga Stand United ‘Chama la Wana’ mabao 2-0 huku ikihitaji sare katika mchezo wa marudiano ili kubaki kwenye ligi hiyo msimu ujao. Mchezo huo wa mtoano (playoff) kusaka nafasi ya kubaki Ligi ya Championship umechezwa leo Mei 8, 2024 katika Uwanja wa…

Read More

Maswali matano mwisho wa Inonga Simba

MKATABA wa beki wa Simba, Henock Inonga unamalizika mwisho wa msimu huu. Tayari ameshaitumikia Simba misimu miwili na kuonyesha kiwango bora ingawa kimekuwa kikilalamikiwa na mashabiki wa siku za karibuni. Beki huyo wa zamani wa FC Renaissance na DC Motema Pembe za DR Congo amekuwa akihusishwa pia na timu mbalimbali zikiwamo za Afrika Kaskazini hasa…

Read More

Dakika 450 za mtafutano kwa makocha 11 Ligi Kuu

WAKATI zikisalia mechi tano kumaliza Ligi Kuu msimu wa 2023/24, presha ipo kwa timu 11 ambazo zinapaswa kuchanga vyema karata zake ili kubaki salama. Hadi sasa Yanga anayetetea taji lake kwa msimu wa tatu mfululizo, ndiye kinara kwa pointi 65, Azam akifuatia kwa alama 57, Simba akiwa nafasi ya tatu kwa pointi 53 na Coastal…

Read More

Mastaa Yanga wataka Guede aombwe radhi

NI kama gari limewaka kwa mshambuliaji wa Yanga, Joseph Guede ambaye hivi sasa namba zake zinambeba na kumfanya kuwa mchezaji hatari katika kikosi hicho, lakini huku nyuma mastaa wa kikosi hicho wamewageukia mashabiki wakitaka wamuombe radhi nyota huyo. Guede ambaye alisajiliwa katika dirisha dogo la usajili msimu huu, alionekana kuwa na mwanzo mgumu katika kikosi…

Read More

Musonda kumpisha Dube Yanga | Mwanaspoti

WAKATI Yanga ikiwa kwenye mchakato wa kusaka mbadala wa Joyce Lomalisa ambaye anatajwa kuachwa mwisho wa msimu huu, imebainika kuwa mshambuliaji Keneddy Musonda pia anampisha mtu. Musonda anamaliza msimu wake wa pili mwishoni mwa msimu huu na hakuna mazungumzo yoyote baina yake na uongozi kwa ajili ya mkataba mpya na inatajwa kuwa atampisha Prince Dube…

Read More

Mastaa Azam wawekewa milioni 300 waigomee Simba 

AZAM FC hawatanii buana! hivyo ndio unaweza kusema baada ya uongozi wa timu hiyo kuamua kutoa motosha wa mastaa wao kupambana kumaliza nafasi ya pili kwa ahadi ya kuwapa zawadi ya fedha Sh300 milioni inayotolewa kwa mshindi wa pili wa Ligi Kuu Bara. Ahadi hiyo imetolewa ikiwa ni siku moja kabla ya timu hizo mbili…

Read More

UBISHI WA MZEE WA KALIUA: Kibu Denis ni mbadala wa Lomalisa?

Huenda Kibu Dennis ndiye mchezaji Bora msimu huu mzawa wa Simba na ambaye akikosekana, watu wanashika kichwa. Kibu ni aina ya wachezaji ambao kumwelekezea mtu, inahitaji muda wa kutosha. Mchezaji yoyote asiyekupa namba, inahitaji ujuzi kweli wa mambo kumwelezea. Kibu ana karibu kila kitu kinachohitajika kwa mchezaji, lakini hakupi namba. Hakuna mabao wala pasi za…

Read More

Simba yamvutia waya Ibenge, bosi wa Nabi nae yumo

JINA la kocha wa Al Hilal, Florent Ibenge (62) linatajwa kupewa kipaumbele cha kwanza na mabosi wa Simba kumrithi Abdelhak Benchikha aliyeondoka mwishoni mwa mwezi uliopita lakini wakati wakiendelea kujifikiria zaidi, bosi wa zamani wa Kocha Nasreddine Nabi naye amewasilisha maombi mezani akiomba kupewa kibarua cha kuinoa timu hiyo. Uongozi wa Simba ulikuwa na hamu…

Read More