Fei Toto, Aziz KI vita ni kali

Bao moja alilolifunga nyota wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’ katika mchezo wa jana dhidi ya Mtibwa Sugar limemfanya kufikisha mabao 15 ya Ligi Kuu Bara akiwa sambamba na nyota wa Yanga, Stephane Aziz Ki waliopo kwenye vita ya ufungaji bora. Feisal alifunga wakati Azam ikiitandika Mtibwa Sugar mabao 2-0, jana na kuendeleza kushikilia…

Read More

HISIA ZANGU: Pamba karibuni katika ufalme wa Aziz KI, Chama

RAFIKI zetu wa Mwanza Pamba wamerudi Ligi Kuu. Imepita miaka 22 tangu walipoondoka zao. Umri wa mtu mzima. Nyakati zimekwenda wapi? Hatujui. Walikuwa na shangwe kwelikweli katika mitaa yao. Namna walivyopokewa ungeweza kudhani wametoka kutwaa Kombe la Dunia. Unaikumbuka Pamba halisi? Wakati huo wakiwa na kina Fumo Felician, Khalfan Ngassa baba yake Mrisho Ngassa, Kitwana…

Read More

Msikie Nchimbi, Umewahi kula ugali wa mafuta!

VIPO vyakula vya aina mbalimbali duniani, lakini umewahi kusikia au kula ugali uliopikwa kwa kuchanganywa na mafuta ya kupikia? Hata hivyo, katika harakati za kutafuta maisha mshambuliaji wa zamani wa Yanga, Ditram Nchimbi amejikuta akikumbana na chakula hicho nchini Rwanda anakoichezea Etincelles FC inayoshiriki Ligi Kuu. Katika mahojiano na Mwanaspoti, Nchimbi aliyeichezea Yanga kati ya…

Read More

Serikali yazidi kujiimarisha mapambano dhidi ya Ujangili

Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii, inaendelea kujiimarisha kwenye mapambano dhidi ya ujangili, kwa kuwajengea uwezo maafisa wake kupitia mafunzo mbalimbali pamoja na kuimarisha mahusinao mema baina ya Wizara hiyo, wadau wa Uhifadhi pamoja na wananchi kwa ujumla. Hayo yamebainishwa na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii, Kamishna Benedict Wakulyamba Jijini Dodoma…

Read More

GGML, OSHA yawanoa bodaboda 200 Arusha

ZAIDI ya madereva bodaboda 200 wa jiji la Arusha wamepatiwa mafunzo maalum ya usalama na afya kwa lengo la kuwajengea uwezo wa kutambua vihatarishi vya ajali na magonjwa katika shughuli zao za uzalishaji. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Mafunzo hayo yaliyotolewa na Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa ushirikiano na Wakala wa Afya…

Read More

GGML, OSHA yawanoa bodaboda 200 Arusha, Ndejembi awafunda

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital ZAIDI ya madereva bodaboda 200 wa jiji la Arusha wamepatiwa mafunzo maalum ya usalama na afya kwa lengo la kuwajengea uwezo wa kutambua vihatarishi vya ajali na magonjwa katika shughuli zao za uzalishaji. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja…

Read More

Nyumba 145 zazingirwa na maji Lindi, 35 zabomoka

Lindi. Zaidi ya nyumba 145 zimezingirwa na maji huku nyingine 35 zikibomoka na kuharibika,  kufuatia mvua kubwa iliyonyesha mkoani Lindi kwa siku tatu mfululizo na kuleta athari kubwa katika Wilaya ya Kilwa. Mvua hizo zimesababisha uharibifu wa makazi ya watu zikiwemo nyumba 145 kujaa maji na 35 kubomoka kabisa na watu kukosa makazi katika kitongoji…

Read More

Cheki ramani nzima ya ubingwa Yanga ilivyo

MNAHESABU lakini? Ndivyo unavyoweza kusema baada ya Yanga juzi kupata ushindi wa 21 katika michezo 25 iliyochezwa katikaa Ligi Kuu Bara. Yanga ilipata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mashujaa na kuifanya ifikishe jumla ya pointi 65 na sasa inahitaji pointi nane tu ili kutangaza ubingwa mapema. Bao pekee la dakika ya 41 kupitia Joseph…

Read More