Vigogo wa Coastal wameamua, waanza na uwanja

Mwenyekiti wa Klabu ya Coastal Union, Steven Mguto amesema wanatarajia kuanzia Agosti, mwaka huu, wataanza kutumia uwanja wao kwa ajili ya mazoezi, huku akieleza kuwa msimu huu wanaitaka nne bora na taji la Kombe la Shirikisho (FA). Coastal Union imefuzu nusu fainali ya kombe la shirikisho, ambapo inatarajia kukutana na Azam kusaka nafasi ya kutinga…

Read More

Mjadala tuzo ya Aziz Ki na takwimu za Guede

Tuzo ya mchezaji bora wa mwezi Aprili ya Ligi Kuu Bara imezua gumzo kwa baadhi ya wadau wa soka nchini kutokana na kuteuliwa Stephane Aziz KI badala ya Joseph Guede ambaye ameonekana kuwa na mchango mkubwa zaidi katika pointi 10 ambazo Yanga imevuna ndani ya mwezi huo. Kwa mujibu wa taarifa ya Bodi ya Ligi…

Read More

Mbeya City yashtuka, kumkalia kikao Mayanga

Baada ya kumalizika kwa Championship, uongozi wa Mbeya City umekiri kutofikia malengo ukiahidi kujipanga upya kwa ajili ya msimu ujao, huku ishu ya benchi la ufundi ikisubiri kikao cha bodi. City iliyoshuka daraja msimu wa 2022/23, imemaliza Championship nafasi ya sita kwa pointi 37, huku ikiongozwa na Salum Mayanga ambapo matarajio yao yalikuwa ni kurejea…

Read More

Ken Gold yaanza kusaka kocha mpya, yapokea CV kibao

Wakati idadi ya makocha wanaoomba kibarua Ken Gold ikizidi kuongezeka, uongozi wa timu hiyo umesema mbali na vigezo vya elimu, unataka kocha mwenye historia ya matokeo mazuri. Ken Gold ya wilayani Chunya mkoani Mbeya inatarajia kushiriki Ligi Kuu msimu ujao baada ya kupanda daraja na kumaliza Championship ikiwa kinara kwa pointi 70 ikifuatiwa na Pamba…

Read More

Sababu za mastaa kutoboa soksi

Kumekuwa na mabadiliko mengi ya mavazi kwa wacheza soka duniani kote, lakini hili la kutoboa soksi nyuma linaonekana kuwashangaza mashabiki wengi. Hivi karibuni umezuka mtindo wa wachezaji mastaa duniani kutoboa au kuchana soksi kwenye kigimbi cha mguu hali ambayo imeanza kuzoeleka na kuwa kama kitu cha kawaida. Kwenye Ligi Kuu ya NBC, kuna kundi kubwa…

Read More

Ligi Kuu Bara ni vita ya nafasi

LIGI Kuu Bara inaendelea tena leo Jumatatu kwa timu nane kusaka pointi tatu na michezo minne itapigwa viwanja mbalimbali. Mchezo wa mapema saa 8:00 mchana utazikutanisha Ihefu iliyokuwa nafasi ya 12 na pointi 25 kwenye Uwanja wa Liti, Singida dhidi ya Namungo ya Lindi iliyopo nafasi ya 11 na pointi 27 baada ya zote kucheza…

Read More