Mgunda: No Chama, No problem

WAKATI mabadiliko ya kikosi cha Simba katika michezo miwili iliyopita ya ligi yakianza kuwavutia baadhi ya wadau na mashabiki wa timu hiyo, kaimu kocha mkuu wa wekundu hao wa Msimbazi, Juma Mgunda anaamini wanaweza kufanya makubwa zaidi katika michezo saba iliyosalia kabla ya msimu 2023/24 kumalizika bila ya uwepo wa baadhi ya mastaa akiwemo Clatous…

Read More

Boban: Simba bado inamuhitaji Kibu

WAKATI za chini ya kapeti zikielezwa nyota wa Simba, Kibu Denis ana asilimia kubwa ya kusaini Yanga kwa ajili ya msimu ujao baada ya mkataba wake kutarajiwa kumalizika mwishoni mwa msimu huu, aliyekuwa Kiungo wa Wanamsimbazi, Haruna Moshi ‘Boban’ amewataka matajiri wa klabu hiyo, wafanye kitu kwa staa huyo. Boban ambaye aliitumikia Simba kwa takribani…

Read More

Kocha Prisons hali tete, aiwaza Coastal

Kocha Mkuu wa Tanzania Prisons, Ahmad Ally ameanza kuonja joto la jiwe kufuatia matokeo yasiyoridhisha anayoendelea kupata na kumuweka katika wakati mgumu. Ally ambaye alitua kikosini humo mwishoni mwa mwezi Oktoba akichukua nafasi ya mtangulizi wake, Fred Fe-lix ‘Minziro’ aliyesitishiwa mkataba kutokana na matokeo mabovu. Kocha huyo wa zamani wa KMC, alikuwa na mwanzo mzuri…

Read More

Aziz Ki ampiga bao Guede Tuzo ya Ligi Kuu

KIUNGO Mshambuliaji wa Yanga, Stephane Aziz Ki ameteuliwa kuwa Mchezaji Bora wa Mwezi Aprili wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2023/2024, huku kocha wake, Miguel Gamondi naye akibeba. Aziz Ki ametwaa tuzo hiyo akiwashinda Kipre Junior wa Azam na Joseph Guede ambaye anacheza naye katika kikosi cha Yanga ambacho kinaongoza ligi. Taarifa iliyotolewa na…

Read More

Kwenye gofu ukilala njaa ni uzembe wako

KUNA watu wamegundua fursa zilizopo kwenye mchezo wa gofu na wameamua kupiga pesa, kutokana na mishe mbalimbali wanazozifanya, jambo kubwa lililowafanikisha hayo ni uthubutu na kutoona aibu. Mzuka wa gofu, kupitia gazeti la Mwanaspoti, limefanya mahojiano na Prosper Emmanuel anayesimulia mishe anazofanya nje na kucheza gofu, zinazompa pesa za kujikimu maisha yake. “Kwanza kama kijana…

Read More

Kibu D, namba na hali halisi vinapotofautiana

SIJUI kama tutajua tufuate lipi katika soka la kisasa. Takwimu au macho yetu? Tangu tuanze kushika kompyuta zetu soka limeanza kutuchanganya. Tuamini katika lipi kati ya tunachokiona kwa macho au takwimu. Wiki iliyopita ilikuwa ya Kibu Dennis. Sijajua ukweli hadi sasa. Tulichosikia ni hajataka kusaini mkataba mpya pale Msimbazi na anataka kuondoka zake pindi msimu…

Read More

Kipa Msudani awadatisha mabosi Azam FC

KIWANGO alichokionyesha kipa wa kimataifa wa Azam FC, Msudan Mohamed Mustafa, kimewashawishi viongozi wa klabu hiyo kuanza mchakato wa kukaa naye mezani kwa ajili ya mazungumzo ya mkataba mpya. Azam FC ilimsajili kipa huyo kwa mkataba wa miezi sita kutoka klabu ya El Merreikh, mkataba ambao unamalizika mwisho wa msimu huu. Alipoulizwa mtendaji mkuu wa…

Read More

NOTI ZITAONGEA: Mastaa Ligi Kuu watakaokuwa ghali sokoni

SINEMA inayoendelea ya mshambuliaji wa Simba, Kibu Denis kudaiwa kugoma kuongeza mkataba mpya ndani ya kikosi hicho inatoa picha jinsi shughuli inavyoweza kuwa pevu kwa viongozi wa timu mbalimbali kuwabakisha mastaa wao. Vigogo vya soka la Bara, Simba na Yanga kwenye vikosi kuna mastaa wanaomaliza mikataba mwishoni  mwa msimu huu na baadhi yao ni muhimu…

Read More

Yanga, Mashujaa vita ipo hapa

Yanga inashuka katika mchezo wa leo kusaka pointi tatu ili kuendelea kuusogelea ubigwa wa Ligi Kuu Bara wakati Mashujaa wao wanatafuta ushindi wa kujikwamua kurudi walipotoka. Yanga inaongoza msimamo kwa pointi 62 imebakiza michezo minne kutetea taji lake wakati Mashujaa ipo nafasi ya 14 ikikusanya pointi 23 kwenye mechi 24 ilizocheza. Mchezo huo utakuwa wa…

Read More