Mandonga: Chakula cha buku hadi tv kila chumba

MEI 12, mwaka huu bondia wa ngumi za kulipwa nchini na mpiga debe wa zamani wa Kituo cha Mabasi Msamvu mjini Morogoro, Karim Mandonga ‘Mtu Kazi’ atakuwa akimaliza adhabu yake. Mandonga atamaliza adhabu hiyo iliyotokana na kusimamishwa kupanda ulingoni na Kamisheni ya Ngumi za Kulipwa Tanzania (TPBRC), kufuatia kupokea kipigo cha TKO ya raundi sita…

Read More

KMC,Kagera sUgar hakuna mbabe | Mwanaspoti

Mchezo kati ya KMC dhidi ya Kagera Sugar umemalizika Uwanja wa Azam Complex timu hizo zikiwa hazijafungana, Licha ya mashambulizi makali ya timu zote bado safu za washambuliaji kwa timu zote hazikuweza kutikisa nyavu na kuifanya mechi hiyo kumalizika kwa suluhu hiyo. Matokeo hayo yameongeza alama moja kwa kila timu lakini hayakubadilisha nafasi ya timu…

Read More

Serikali kukarabati uwanja wa Jamhuri, Morogoro

Waziri wa Sanaa Utamaduni na Michezo, Dk Damas Ndumbaro amesema kuelekea mashindano ya Afcon 2027, ambayo yanatarajiwa kufanyika kwa ushirikiano wa nchi tatu za Tanzania, Kenya na Uganda serikali itaufanyia ukarabati Uwanja wa Jamhuri ili uweze kutumika.kwa mazoezi kuelekea mashindano hayo. Akizungumza na Mwanaspoti Waziri Ndumbaro amesema serikali imeamua kuja na mbinu mbadala ya kuwa…

Read More

Serikali kuukarabati uwanja wa Jamhuri, Morogoro

Waziri wa Sanaa Utamaduni na Michezo, Dk Damas Ndumbaro amesema kuelekea mashindano ya Afcon 2027, ambayo yanatarajiwa kufanyika kwa ushirikiano wa nchi tatu za Tanzania, Kenya na Uganda serikali itaufanyia ukarabati Uwanja wa Jamhuri ili uweze kutumika.kwa mazoezi kuelekea mashindano hayo. Akizungumza na Mwanaspoti Waziri Ndumbaro amesema serikali imeamua kuja na mbinu mbadala ya kuwa…

Read More

Singida FG yajipata, Kyombo atakata Kirumba

Mwanza. Baada ya kuwa na matokeo mabaya kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini hapa hatimaye leo wenyeji Singida Fountain Gate wamepata ushindi muhimu huku mshambuliaji wake, Habib Kyombo akitakata kwa kuifungia mabao mawili. Singida ambayo ilikuwa haijapata ushindi kwenye Ligi Kuu Bara tangu ilipoifunga Namungo bao 1-0 Machi 16, mwaka huu kwenye Uwanja wa CCM…

Read More

Chama atachezaje na Pacome, Aziz Ki Yanga

KILA msimu Clatous Chama ni mchezaji anayesajiliwa na Yanga lakini daima anachezea Simba. Huu ni msemo maarufu kila linapokaribia dirisha la usajili na wakati huu msimu ukikaribia kumalizika, tayari uvumi kwamba nyota huyo wa Zambia huenda akajiunga na timu ya Wananchi umeanza tena.   Ipo hivi; Yanga inatajwa kuwinda saini ya kiungo huyo mshambuliaji ambaye…

Read More

MTU WA MPIRA: Kwanini Mgunda asiaminiwe moja kwa moja?

MLETE MGUNDA. Ni kauli maarufu zaidi kwa wapenzi wa Simba pale mambo yanapokuwa magumu kwao. Kwanini? Subiri nitakwambia. Hapa majuzi aliyekuwa kocha wa Simba, Abdelhak Benchikha aliomba kuondoka klabuni hapo kutokana na matatizo ya kifamilia. Ilikuwa ni mshtuko mkubwa sana. Simba ilishaweka matumaini makubwa kwa Benchikha kusuka timu ya msimu ujao. Benchikha hakua na msimu…

Read More