Mashujaa kumwaga noti kwa mastaa kuiua Yanga

WAKATI Mashujaa FC ikibakiza mechi sita kujua hatima yake Ligi Kuu Bara, uongozi wa timu hiyo umesema utaongeza dau kwa wachezaji ili kuhakikisha kuanzia mechi ijayo dhidi ya Yanga hawaachi kitu kukwepa aibu ya kushuka daraja. Mashujaa iliyopanda Ligi Kuu msimu huu kupitia mchujo (play Off) ilipoishusha Mbeya City kwa jumla ya mabao 3-1, kwa…

Read More

Gamondi amuulizia kiungo Simba | Mwanaspoti

SIMBA msimu huu imekuwa na kiwango ambacho hakiwafurahishi mashabiki wake lakini kuna wachezaji ambao wamekuwa vipenzi vya mashabiki na wanaamini kama wataendelea kuwepo, miamba hiyo ya Ligi Kuu Bara msimu ujao itatisha na kusahau machungu ya misimu miwili mfululizo mbele ya watani zao, Yanga. Moja ya majina yanayotajwa yanawakosha mashabiki wa timu hiyo, ni kiungo…

Read More

Ken Gold inasukwa upya Ligi Kuu na mikakati Kibao

Ubingwa wa Ligi Kuu msimu ujao hapana. Ni kauli ya uongozi wa Ken Gold, ukielezea mikakati yao ya msimu ujao baada ya kupanda Ligi Kuu ukisema hawatakurupuka kusuka kikosi na kipaumbele ni wazawa kwanza. Ken Gold inatarajia kucheza Ligi Kuu msimu ujao kwa mara ya kwanza baada ya kufanikiwa kumaliza kinara Championship kwa pointi 70…

Read More

Mambo matano yaliyoirejesha Pamba Ligi Kuu

Wikiendi iliyopita Pamba Jiji ilivunja mwiko wa miaka 23 kutopanda daraja kwenda Ligi Kuu tangu iliposhuka mwaka 2000, ilipoifunga Mbuni FC ya Arusha mabao 3-1 na kutimiza ndoto iliyosubiriwa kwa miaka mingi na mashabiki wa soka jijini Mwanza na nchini.  Pamba ilipanda Ligi Kuu ikivuna jumla ya pointi 67 baada ya kucheza mechi 30, ikishinda…

Read More

Wababe wa Simba na Yanga katikati ya mtego

AL Ahly ya Misri itabeba tena? Hilo ndilo swali  lililopo vichwani mwa mashabiki na wapenzi wa soka Afrika kwa sasa, wakati wakisubiri mechi mbili za fainali za michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Mechi hizo zitakazopigwa kati ya Mei 18 na 25 mwaka huu itakutanisha watetezi hao wanaoshikilia taji la 11 dhidi ya mabingwa mara…

Read More

Ishu ya Kibwana na Azam ipo hivi

Beki wa Yanga, Shomari Kibwana ni kati ya wachezaji ndani wa kikosi hicho ambao mikataba yao inaishia mwisho wa msimu huu (2023/244), lakini bado hajaanza mazungumzo ampya na viongozi wake. Wakati Yanga ikijivuta kukaa naye mezani, kuna taarifa chini ya kapeti zinaeleza kwamba Azam FC imepeleka ofa ya kuhitaji huduma yake kwa ajili ya msimu…

Read More

Tshabalala awaachia msala wazawa Simba

SIMBA bado kunafukuta. Timu hiyo inapitia kipindi kigumu cha mpito ambacho mambo mengi yametokea na yatatokea lakini wakijipanga vizuri yatapita na wakali hao wa Msimbazi watarejea kwenye ubora na uimara wao kama taasisi imara ya soka. Wakati upepo huo ukiendelea kupita Simba, Mwanaspoti inakudokeza sababu nyingine ambayo imeifanya timu hiyo kukosa uimara. Si nyingine ni…

Read More

Serikali kuendesha msako utitiri vyama vya kitaaluma

Arusha. Serikali imeonyesha kukerwa na utitiri wa vyama vya kitaaluma vilivyopo nchini kwa sasa na kuagiza uchunguzi wa kina. Agizo hilo limetolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene akimtaka Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Juma Mkomi kuunda kikosi kazi cha kuchunguza. Simbachawene ameyasema hayo…

Read More

Sababu ya Kibu kugomea mkataba Simba hii hapa

Mwanaspoti linajua kama mambo yataenda yalivyo, wakati wowote Simba inaweza kumpoteza kiungo wao mshambuliaji mpambanaji Kibu Denis Prosper. Ni kama yuko mlangoni kuingia kwa watani wao Yanga. Iko hivi Kibu anamaliza mkataba wake na Simba mwisho wa msimu huu lakini alipoenda mezani kuwasikiliza wekundu hao juu ya ofa yao akagundua kwamba hawajavuka hata nusu ya…

Read More