Tshabalala amliza Mtunisia | Mwanaspoti

YANGA imemsajili na kumtambulisha beki wa kushoto wa zamani wa Kagera Sugar na Simba, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’, anayeendelea na majukumu ya kuitumikia timu ya taifa, Taifa Stars inayoshiriki michuano ya CHAN 2024, lakini kuna kocha mmoja ameshtushwa na usajili huo. Tshabalala aliyeitumikia Simba kwa misimu 11 tangu 2014 alipotua akitokea Kagera Sugar amepewa mkataba wa…

Read More

Sababu kipa Simba kutoenda kambini

KIKOSI cha Simba kinaendelea kujifua kwa mazoezi kambini jijini Ismailia, Misri kwa ajili ya msimu mpya wa mashindano, lakini kuna kipa mmoja wa timu hiyo yupo Dar es Salaam na mwenyewe amefunguka sababu zilizomfanya asiwepo kambini na wenzake. Kipa aliyekwama kuungana na wenzake kambini Misri ni Ally Salim ambaye amekuwa pia akiitumikia timu ya taifa,…

Read More

KAMISHNA BADRU AWATAKA ASKARI WA JESHI LA UHIFADHI NCAA KUZINGATIA WELEDI KATIKA KAZI.

Na Mwandishi wetu, Pololeti Ngorongoro Kamishna wa Uhifadhi Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) Bw. Abdul-razaq Badru amewataka askari wa uhifadhi katika Pori la Akiba la Pololeti Wilayani Ngorongoro kuzingatia maadili, weledi na matokeo ya kazi wanazozifanya ili kulinda hadhi ya jeshi hilo. Kamishna Badru ametoa rai hiyo alipokuwa katika ziara ya kikazi na kuzungumza…

Read More

Kumi na moja wapenya mchujo wa mwisho uchaguzi TFF

KAMATI ya Uchaguzi Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limetoa orodha ya mwisho ya majina ya wagombea 11 waliopenya kuwania nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi wa shirikia hilo uliopangwa kufanyika Agosti 16, 2025, jijini Tanga. Orodha hiyo ina majina ya wagombea 11 tu kati ya 25 waliojitokeza awali na kufyekwa kupitia hatua mbalimbali…

Read More

Kocha Simba ashtuka! Mbioni kuhama kambi

Timu ya Simba inatarajia kuhamisha kambi yake huko Misri kutoka mji wa Ismailia kwenda jijini Cairo kutokana na sababu mbalimbali zilizotajwa na benchi la ufundi la timu hiyo. Simba imepiga kambi Misri kujiandaa na msimu wa 2025/2026 ambapo itashiriki michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Ligi Kuu Tanzania Bara na Kombe la FA. Akizungumza katika…

Read More

Simba, Yanga zaendelea kupanda CAF

Dar es Salaam. Simba imeendelea kuonyesha ukubwa wake Afrika baada ya kupaa katika viwango vya ubora wa klabu vya CAF hadi nafasi ya tano huku mtani wake Yanga naye akipanda. Kwa Simba kuwa nafasi ya tano inamaanisha imepanda kwa nafasi mbili kutoka ya saba ambayo ilikuwepo kabla ya kuanza msimu uliopita. Kwa mujibu wa chati…

Read More

Kocha Morocco asifu nidhamu ya kimbinu

KATIKA mechi iliyojaa tahadhari na vita ya kimbinu, Taifa Stars  imeendelea kung’ara kwenye Michuano ya Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ligi za Ndani (CHAN) baada ya kuibuka na ushindi mwembamba wa bao 1-0 dhidi ya Mauritania, Jumatano usiku kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Bao lililofungwa dakika ya 89 na beki wa…

Read More

Dodoma Jiji wamesajili vizuri watabaki

HIZI timu za daraja la kati kiuchumi mara nyingi lengo lao kuu huwa ni kubakia Ligi Kuu na huwa hazitaki sana makuu kama zile zenye msuli wa kifedha. Kuchukua ubingwa au kumaliza msimu timu ikiwa katika nafasi za juu kwenye msimamo wa ligi kunaendana na gharama kubwa ambayo hizo timu za uchumi wa kati haziwezi…

Read More

Samatta anatuheshimisha, ila sisi hatumheshimu

JUZI Jumatano ilikuwa siku ya furaha sana hapa kijiweni kwetu baada ya kusikia na kuona taarifa za nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta kujiunga na Le Havre inayoshiriki Ligi Kuu ya Ufaransa. Sababu kubwa ya furaha yetu ni Samagol a.k.a Popat alishaonekana kama maji ya jioni na haikutegemewa kama angeweza kurudi katika ligi kubwa Ulaya…

Read More