JIWE LA SIKU: Simba ya Mgunda anakufunga yeyote

Simba imeanza maisha mapya baada ya kocha Abdelhak Benchikha kuondoka kwa ilichoelezwa kuwa ni matatizo ya kifamilia na timu kukabidhiwa kwa Juma Mgunda na Selemani Matola, uamuzi ambao kwa hakika umewapa matumaini makubwa mashabiki kutokana na rekodi za kocha huyo mzawa aliyejipatia sifa kama “mzee wa acha boli litembee.”  Mgunda amerejea kikosini kama kaimu kocha…

Read More

UDSM, DAR City zachuana BDL

Timu ya Dar City na UDSM Outsiders, zinakabana koo katika uongozi wa Ligi ya Kikapu ya Mkoa wa Dar es Salaam (BDL)inayoendelea kwenye Uwanja wa Donbosco, Oysterbay, Dar es Salaam. Timu hizo zilianza kuchuana tangu ligi ilivyoanza Machi 3 mwaka huu.  Mabingwa watetezi wa ligi hiyo, Dar City,  ndiyo wanaongoza katika kwa pointi 25 kutokana…

Read More

Lusajo: Profesa shabiki wa Simba alinikazia nisijiunge Yanga

Mshambuliaji Reliants Lusajo anajipambanua kuandaa maisha baada ya kustaafu soka, jambo linalomfanya aipe elimu kipaumbele ili kumwezesha kufanya shughuli nyingine kwa urahisi. Katika mahojiano na Mwanaspoti, straika huyo ambaye anasema hupenda kuzurura pindi Ligi Kuu Bara inaposimama na siyo mtu anayepania kusoma isipokuwa ana akili za kuzaliwa akiamua kuweka mkazo katika kitabu, basi hakuna kinachoshindikana….

Read More

Pamba yaanza mabalaa, maandalizi Ligi Kuu Bara 2024\2025

Achana na shangwe la kupanda Ligi Kuu Bara linaloendelea jijini hapa, mabosi wa Pamba Jiji tayari wameshapata pa kuanzia wakati wakipiga hesabu za mambo watakayoanza nayo msimu ujao. Pamba Jiji imerejea Ligi Kuu mwishoni mwa wiki iliyopita baada ya kumaliza katika nafasi ya pili kwenye Ligi ya Championship ikivuna pointi 67 katika mechi 30, nyuma…

Read More

Hii hapa mikakati mipya ya Mgunda Simba

SIKU chache baada ya kurudishwa Simba, kocha Juma Mgunda ametaja mambo matatu yatakayombeba kwenye mechi nane zilizobaki akianza na sare ya mabao 2-2 dhidi ya Namungo ugenini. Mgunda ambaye ni kocha wa zamani wa Coastal Union, amerudishwa akitokea timu ya wanawake Simba Queens kuchukua nafasi ya Abdelhak Benchikha ambaye ameachana na timu hiyo kwa kile…

Read More

Siri Yanga kuwaita mezani Mwamnyeto, Kibwana

Uhaba wa mabeki wazawa wenye uwezo wa juu, uzoefu pamoja na kutokuwa tayari kuwanufaisha wapinzani iwapo wawili hao wataondoka, ni sababu tatu za msingi zilizofanya uongozi wa Yanga kuanza mazungumzo ya haraka na mabeki wake Bakari Mwamnyeto na Kibwana Shomari kwa ajili ya kuwashawishi waongeze mikataba licha ya uwepo wa wachezaji wa nafasi nyingine ambao…

Read More

Gamondi adai Pacome bado, mwenyewe afunguka

KOCHA wa Yanga, Miguel Gamondi amemtazama nyota wake Pacome Zouzoua kwa dakika 20 alizompa katika mchezo wa robo fainali ya Kombe la Shirikisho (FA) dhidi ya Tabora United na kusema bado anahitaji muda wa kurejea katika makali yake. Pacome alianza kuomba kutumika tangu mchezo wa watani wa jadi Aprili 20, mwaka huu kwenye Uwanja wa…

Read More

Pacome apewa dakika 20, Yanga ikitinga nusu fainali FA

BAADA ya kukosekana katika michezo saba katika mashindano tofauti sawa na dakika 630, kiungo Pacome Zouzoua amecheza dakika 20 wakati Yanga ikitinga nusu fainali ya Kombe la Shirikisho (FA) kwa kuichapa mabao 3-0  Tabora United  kwenye Uwanja wa Azam Complex Chamazi. Pacome ambaye alipata majeraha katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Azam, Machi…

Read More

Faini zatawala Ligi Kuu Bara

KAMATI ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Bara (TPLB) katika kikao cha Aprili 30, mwaka huu imepitia matukio yaliyojitokeza katika mechi za Ligi Kuu, Championship na First League na kutoa adhabu mbalimbali kwa timu na wachezaji.  Katika uamuzi uliotolewa timu ya Mashujaa imetozwa faini ya Sh1 milioni kwa kosa la…

Read More