Pacome afunga bandeji goti aliloumia

LICHA ya kuonekana kuwa fiti kwa ajili ya mchezo wa robo fainali ya kombe la shirikisho (FA), kiungo wa Yanga, Pacome Zouzoua ameonakana akiwa amefunga bandeji ya bluu kwenye goti aliloumia zaidi ya mwezi mmoja uliopita. Pacome aliumia Machi 17 katika mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Azam FC ambao Yanga ilipoteza kwa mabao 2-1….

Read More

Simba, Azam vitani tena kunasa saini ya kiungo fundi

JINA la kiungo Najimu Musa lipo mezani kwa timu za Simba, Azam na KMC huku kila timu ikihitaji saini ya mchezaji huyo kwa msimu ujao. Kiungo huyo mzawa anayekipiga Tabora United ni miongoni mwa wachezaji waliomvutia kocha aliyeondoka Simba, Abdelhack Benchikha na kuwaeleza viongozi wa timu hiyo kumsajili kwaajili ya msimu ujao kwani anaamini angeongeza…

Read More

Pacome arudi kikosini Yanga ikiivaa Tabora United

HATIMAYE kiungo wa Yanga Pacome Zouzoua Leo anarudi uwanjani kwa mara ya kwanza tangu kuumia na kuzusha taharuki kubwa. Kwenye kikosi cha Yanga kitakachocheza mchezo wa Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho dhidi ya Tabora United kiungo huyo ni kati ya wachezaji 18 watakaocheza mchezo huo. Hata hivyo, Mwanaspoti linafahamu kuwa kiungo huyo hataanza kwenye…

Read More

Sakata la Kakolanya lachukua sura mpya Singida Fountain Gate

SAKATA la kipa namba moja wa Singida Fountain Gate, Beno Kakolanya limechukua sura mpya ikiwa ni siku chache tangu nyota huyo wa zamani wa Tanzania Prisons, Yanga na Simba kufichua kuwa baada ya kuijibu barua ya kutokwenda katika Kamati ya Nidhamu, Ijumaa iliyopita, akaondolewa kwenye ‘group’ la WhatsApp wachezaji, huku nyumba yake akipewa mchezaji mwingine….

Read More

Mastaa Yanga wamshangaza Gamondi kambini

KOCHA wa Yanga Miguel Gamondi, amevunja ukimya kwa kusema namna anavyoshangazwa na maisha ya mastaa wa timu hiyo kambini kwa muda wa mwaka mmoja aliokaa na timu hiyo, huku akifichua nyakati ngumu anazokutana nazo pale timu uinapotoka sare au kupoteza mchezo. Gamondi aliyetua Yanga mwanzoni mwa msimu huu akimpokea Nasreddine Nabi aliyemaliza mkataba na kutimkia…

Read More

Mavunde: Tulitumia saa manane kumvuta GSM Yanga

UKIACHA mapenzi yake ndani ya klabu ya Yanga kama kuna jambo ambalo lilimtambulisha kwa ukubwa Antony Mavunde ndani ya klabu hiyo basi ni ile siku ambayo aliutambulisjha umma wa wanachama na mashabiki wa klabu hiyo juu ya ujio wa mfadhili wa timu hiyo     Ghalib Said Mohammed ‘GSM’. Mavunde alimtambulisha tajiri huyo mbele ya uma…

Read More

Lomalisa atoa masharti Simba | Mwanaspoti

WAKATI tetesi za usajili zikimhusisha beki wa Yanga, Joyce Lomalisa kujiunga na Simba mwenyewe kaibuka na kuweka wazi kuwa yupo tayari kucheza timu yoyote Tanzania Bara lakini kwa masharti. Lomalisa ambaye ni raia wa DR Congo aliyesalia kwenye kikosi cha Yanga, anamaliza mkataba wake na mwishoni mwa msimu huu baada ya kuitumikia kwa misimu miwili…

Read More

Championship ilikuwa ni msimu wa jasho na damu

MSIMU uliopita wa Ligi ya Championship ulifika tamati mwishoni mwa wiki iliyopita baada ya kivumbi, jasho na damu kuvuja kwa wachezaji wa timu 16 zilizokuwa zinapigania nafasi mbalimbali hususan lengo kuu la kupanda Ligi Kuu Bara msimu ujao. Wakati ligi hiyo ikitamatika yapo mambo mengi yaliyojitokeza tangu msimu huu ulivyoanza kama ambavyo Mwanaspoti linavyokudadavulia chini….

Read More