Pisi kali za ulingoni | Mwanaspoti

DUNIA imejaa warembo kibao wanaotwanga makonde kama Natasha Jonas, Amanda Serrano au yule Claresaa Shield na ukiwakuta nje ya ulingo katika mitoko yao mingine, katu huwezi kukubali kama hao ni kinadada wachapa vitasa. Haikuwa rahisi pia hata kwa Tanzania hasa kwa mabondia wa kike kuonekana katika upande wa pili wa urembo na fasheni ikiwachukua kwani…

Read More

Simba, KVZ zaanza kufukuzia mil 50

WAKATI KVZ ikiialika Simba katika mchezo wa kwanza wa Ligi ya Muungano leo kuanzia saa 2:15 usiku katika Uwanja wa Amaan, timu zinazoshiriki zimetangaziwa zawadi ya Sh50 milioni kwa itakayobeba ubingwa. Mwenyekiti wa Kamati ya Fedha na Mipango ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFF), Awadh Maulid Mwita alisema jana kuwa bingwa wa mashindano…

Read More

Simba yafuata mrithi wa Saido Asec

BAADA ya kipigo cha mabao 2-1, wekundu wa Msimbazi Simba wameamua kuingia sokoni kusaka mashine mpya na sasa iko mezani na kiungo mshambuliaji wa ASEC Mimosas Pokou Serge. Mwanaspoti linajua Simba inataka huduma ya kiungo huyo kiraka ili aje kufanya mambo mawili kutumika kama winga wa kushoto, pia kama kiungo mshambuliaji nyuma ya mshambuliaji wa…

Read More

Kombe la Muungano lilifia hapa

KLABU ya Yanga ya Dar Es Salaam imegoma kushiriki mashindano mapya ya Kombe la Muungano, yatakayofanyika Aprili 23 hadi 27 mjini Zanzibar. Rais wa Shirikisho la soka Zanzibar (ZFF), Suleiman Mahmoud amesema kwamba timu za Simba na Azam FC ndizo pekee kati ya zilizopewa mwaliko kutoka Bara zilizothibitisha kushiriki. Mahmoud ameeleza kuwa walipokea barua ya…

Read More

Aliyefariki ajali ya Kalaba azikwa, familia yamkana mume

WANAFAMILIA na marafiki wa Charlene Mumba Kabaso, aliyefariki katika ajali iliyotokea Aprili 13, 2024 eneo la Kafue nchini Zambia wamejumuika kutoa heshima za mwisho na kumpumzisha kwenye makazi yake ya milele, huku ikibainishwa kwamba hakuwa mke wa Boyd Mkandawire kama ilivyoelezwa awali. Charlene alifariki dunia Aprili 13, mwaka huu katika ajali ya gari aina ya…

Read More

Tanzania nafasi ya 3 kwa tembo wengi barani Afrika

Imeelezwa kuwa Tanzania inaongoza kwa idadi kubwa ya simba, nyati, na chui huku ikishika nafasi ya tatu kwa kuwa na tembo wengi barani Afrika hivyo itachochea ongezeko la watalii na kufikia malengo ya serikali ya kufikisha idadi ya watalii milioni tano ifikapo 2025. Takwimu hizo zimetolewa na mkurugenzi wa taasisi ya utafiti wa wanyamapori Tanzania…

Read More

Tanzania kinara idadi ya nyati na simba Afrika

Arusha. Tanzania imefanikiwa kuwa kinara wa idadi kubwa ya wanyamapori aina ya nyati na simba barani Afrika. Kwa upande wa nyati, Afrika nzima wako 401,000 na kwa Tanzania pekee, wako 225,000 ikifuatiwa na Afrika Kusini (46, 000), Msumbiji (45, 000), Kenya (42, 000) na Zambia (41, 000). Tanzania pia inaongoza kwa kuwa na simba wengi,…

Read More