Manji: Tatizo la Simba ni mtu huyu

ALIYEWAHI kuwa Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji, Jumamosi iliyopita alishuhudia mchezo wa Dabi ya Kariakoo kati ya Yanga na Simba na kusema: “Tatizo la Simba ni mtu huyu.” Yanga ikiwa mwenyeji kwenye mchezo huo wa Ligi Kuu Bara uliopigwa kwenye Uwanja wa Mkapa jijini Dar es Salaam kuanzia saa 11:00 jioni, ilifanikiwa kuichapa Simba mabao…

Read More

Siri ya Taliss ubingwa wa kuogelea hii hapa

Nahodha wa Taliss Swim Club, Delbert Ipilinga amefichua siri ya kuibuka washindi wa jumla kwenye michuano ya 16 ya Klabu Bingwa Tanzania (TNCC) kuwa ni bidii na uthubutu. Klabu hiyo ilikusanya pointi 385 katika michuano ya siku mbili iliyofanyika katika Shule ya Kimataifa ya Tanganyika (IST) jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. “Nashukuru tumetwaa…

Read More

Simba ilirahisisha ushindi wa Yanga Dabi

Ushindi wa mabao 2-1 ambao Yanga iliupata dhidi ya Simba katika dabi ya Kariakoo, Jumamosi iliyopita kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, yanaweza kuwa matokeo yaliyorahisishwa kwa kiasi kikubwa na timu iliyopoteza mchezo huo. Hakikuwa kibarua kigumu kwa Yanga kupata ushindi katika mechi hiyo tofauti na uhalisia unaotakiwa wa timu kupaswa kufanya kazi ngumu kupata ushindi…

Read More

Aucho ashindwa kujizuia kwa Kazi

KIPIGO cha pili mfululizo kwa Simba kutoka kwa watani wao wa Yanga, kunawapa wakati mgumu mabosi wa Msimbazi kwani kwa sasa wana kazi ngumu ya kurejesha tabasamu usoni mwa wanasimba kutokana na hali  ilivyokuwa kwa wachezaji, benchi la ufundi na mashabiki wa klabu hiyo baada ya dakika 90 za Kariakoo Dabi. Simba ilipoteza kwa mabao…

Read More

MNYAMA KATEPETA TENA MBELE YA WANANCHI

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV KLABU ya Yanga imeendelea kutamba mbele ya watani wao Simba Sc mara baada ya kufanikiwa kuichapa 2-1 kwenye dimba la Benjamini Mkapa Jijini Dar es Salaam. Katika mchezo ambao Yanga walianza kupata bao kupitia kwa Aziz Ki kwa mkwaju wa penati baadae Joseph Guede kupachika bao la pili akipokea pasi…

Read More

Walioachwa Simba watwaa ubingwa | Mwanaspoti

TIMU ya APR imetwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Rwanda 2023/24 bila ya kupoteza mchezo huku kikosini kwake ikiwa na mastaa wawili walioachwa na Simba ya Tanzania ambayo jana ilifungwa mabao 2-1 na Yanga katika Kariakoo Dabi. APR imetwaa taji hilo kwa mara ya tano mfululizo baada ya kuifunga Kiyovu Sports bao 1-0, katika mechi…

Read More

MTU WA MPIRA: Dube mtihani mwingine huu

KUNA vitu vinakera sana. Kuna vitu vinakwaza mno. Unajiuliza mpaka sasa katika dunia ya leo bado tunaishi katika zama za kale. Ni kama hili tukio la straika wa Azam FC, Prince Dube. Ni jambo la kijinga kulizungumza katika soka la kisasa. Dube amekimbia kambini pale Azam FC baada ya kutoa barua ya kuomba kuvunjiwa mkataba…

Read More

Mtoko wa KenGold twenzetu Ligi Kuu Bara

WAKATI Ken Gold ikishuka uwanjani leo Jumapili dhidi ya FGA Talents, Jiji la Mbeya litasimama kwa muda kushangilia historia ya mafanikio kwa timu hiyo kupanda Ligi Kuu. Hii ni baada ya kudumu misimu minne mfululizo wakiisaka ladha ya Ligi Kuu bila mafanikio, lakini hatimaye ndoto imetimia ambapo wadau na mashabiki wa soka itakuwa ni furaha…

Read More