Yanga yagomea chumba cha kubadilishia nguo Kwa Mkapa

Muda mfupi baada ya Yanga kuwasili katika Uwanja wa Mkapa, wamelazimika kugomea kuingia kwenye chumba cha kubadilishia nguo. Maofisa wa Yanga waliotangulia kukagua chumba hicho walionekana kutoridhishwa na mandhari waliyoyakuta ambapo walionekana kulalamika kuna hewa nzito na kuumia macho wakidai kutokwa machozi. Kutokana na ishu hiyo, wahusika wakuu wa mchezo huo akiwemo Mratibu Mkuu, Herieth Gilla, walifika…

Read More

Ayoub atwishwa zigo la lawama Kariakoo Dabi

KOCHA wa Simba, Abdelhak Benchikha amemuanzisha kipa  Ayoub Lakred katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya watani zao, Yanga. Ayoub aliyesajiliwa na timu hiyo msimu huu, huo utakuwa mchezo wake wa kwanza wa Dabi ya Kariakoo kucheza tangu aliposajiliwa akitokea klabu ya Far Rabat ya Morocco. Katika kikosi cha Simba kinachoanza leo dhidi ya Yanga ni…

Read More

Yao arejea Yanga baada ya dakika 360

BAADA ya kukosekana katika michezo minne iliyopita sawa na dakika 360, hatimaye beki wa kulia wa Yanga, Attohoula Yao amerejea uwanjani kwa kupangwa kuanza katika mchezo wa watani wa jadi dhidi ya Simba ambao unachezwa leo, Jumamosi kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa. Yao ambaye alipata majeraha katika mchezo wa ligi dhidi ya Azam, alikosa mechi mbili…

Read More

Pacome amuangukia Gamondi, kocha amgomea

SAA chache kabla ya Yanga kuanza safari ya kuja uwanjani kiungo wa timu hiyo amewasilisha maombi kwa kocha wake ampe hata dakika 20 za mchezo huo. Taarifa kutoka ndani ya Kambi ya Yanga ni kwamba baada ya kiungo huyo kufanya mazoezi vizuri ya siku tatu na kikosi hicho, akawasilisha maombi hayo kwa Gamondi, lakini akagoma….

Read More

Saa 4 kabla ya mechi, Kwa Mkapa jua kaliii

Zikiwa zimesalia takribani saa nne ili kuchezwa kwa mechi ya Watani wa Jadi Yanga dhidi ya Simba, hali ya Uwanja wa Benjamin Mkapa, imepoa. Wakati saa zikizidi kusogea na jua likiwa kali katika maeneo ya uwanja, mpaka sasa hali bado si ya kuridhisha kwa upande wa mashabiki. Rangi zinazoonekana kwa wingi maeneo haya ni kijani…

Read More

Kakolanya aigomea Singida | Mwanaspoti

SIKU chache baada ya Kamati ya Nidhamu ya Singida Fountaine Gate kumuandikia barua kipa wao, Beno Kakolanya kwa ajili ya kujibu tuhuma zinazomkabili za kutoroka kambini na kuihujumu timu, staa huyo ameitikia wito huo, lakini amekataa kuhudhuria kikao. Kwa mujibu wa Singida Fountaine Gate, Kakolanya amejibu barua ya wito kuwa hataweza kufika kwenye kikao cha…

Read More

Yanga kutembea na upepo wa Arajiga leo?

YANGA inashuka kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa saa 11:00 jioni kupambana na watani zao, Simba, huku timu hiyo ikiwa na rekodi bora msimu huu wakati michezo yao ya Ligi Kuu Bara ilipochezeshwa na mwamuzi wa kati, Ahmed Arajiga. Arajiga kutokea mkoani Manyara ndiye aliyepewa jukumu la kutafsiri sheria 17 za soka baina ya timu hizo, huku…

Read More

Usalama waimarishwa Kwa Mkapa | Mwanaspoti

LICHA ya uchache wa mashabiki kabla ya mchezo wa watani wa jadi, Yanga dhidi ya Simba unaotarajiwa kupigwa saa 11:00 jioni, usalama umeimarishwa kila kona. Kama Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam lilivyoahidi ulinzi kufanyika barabara zote zilizo karibu na Uwanja wa Mkapa, hilo limefanyika kwani wamejazwa kila kona. Ili kuhakikisha usalama…

Read More

Vita ya mabingwa wa CAF yaanza upya!

Achana na Kariakoo Dabi itakayopigwa kuanzia saa 11:00 jioni kwa vigogo Simba na Yanga kuvaana kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, saa moja kabla huko Lubumbashi, DR Congo kutakuwa na vita ya nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya wenyeji TP Mazembe dhidi ya watetezi Al Ahly ya Misri. Baada ya pambano hilo la…

Read More