Yanga waitana Dar  kujadili mambo yao

WANACHAMA na viongozi wa Yanga wameitana jijii Dar es Salaam mwezi ujao kwa lengo la kujadili mambo yao kabla hata msimu mpya wa mashindano wa 2025-2026 haujaanza. Wanayanga wanatarajiwa kukutana katika Mkutano Mkuu ulioitishwa na uongozi wa klabu hiyo utakaofanyika Septemba 7, 2025 kwenye Ukumbi wa Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC)…

Read More

Ateba akitoka, huyu anaingia! | Mwanaspoti

KIKOSI cha Simba kinaendelea kujifua kikiwa kambini jijini Ismailia, Misri kujiandaa na msimu mpya wa mashindano na kuna kazi ya maana inaendelea kufanywa na kocha Fadlu Davids akisuka kikosi kwa akili na hesabu zake na habari mpya ni mipango yake ya kuunda safu mpya ya ushambuliaji. Kocha Fadlu anayesimamia usajili wa kikosi hicho, amejulishwa kwamba…

Read More

Conte, Casemiro wafunika Yanga | Mwanaspoti

KATIKA kambi ya mazoezi ya Yanga yanayoendelea kwa sasa pale KMC Complex, Dar es Salaam ikijiandaa na msimu mpya wa mashindano kuna balaa la mastaa wapya wa timu hiyo ambao Mwanaspoti lilipata nafasi ya kuwaona wanakiwasha, lakini gumzo ni Moussa Bala Conte na AbdulNasir Mohammed ‘Casemiro’. Yanga inajifua karibu wiki sasa kwenye uwanja huo uliopo…

Read More

Ceasiaa yabeba wawili Kenya | Mwanaspoti

CEASIAA Queens inayoshiriki Ligi ya Wanawake (WPL) inafanya maboresho ya usajili kuelekea msimu ujao wa mashindano na inaelezwa imemalizana na wachezaji wawili kutoka Kenya na mmoja kutoka DR Congo. Timu hiyo ilimaliza nafasi ya sita msimu uliopita kwenye mechi 18, imeshinda sita, sare tatu na kupoteza mechi tisa, ikifunga mabao 25 na kuruhusu 37, ikikusanya…

Read More

Kwa haya nampongeza kocha Morocco

JUMAMOSI iliyopita, Kocha Hemed Suleiman ‘Morocco’ aliiwezesha timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 katika mechi ya ufunguzi wa mashindano ya CHAN 2024. Kabla ya hapo, Taifa Stars haikuwahi kupata ushindi katika mechi ya kwanza ya hatua ya makundi ya fainali hizo katika awamu mbili tofauti ilizowahi kushiriki hapo…

Read More

Taifa Stars bab’kubwa! | Mwanaspoti

LICHA ya kwamba haikuonyesha kiwango cha kutisha kulinganisha na ilivyocheza mechi ya ufunguzi wa fainali za CHAN 2024, lakini rekodi zimeandikwa na Taifa Stars imewapa kile ambacho Watanzania walio wengi wana hamu ya kukiona. Stars ilipata ushindi wa pili mfululizo wa michuano ya CHAN 2024 ikiwa ni rekodi kwani haijawahi kutokea kwa timu hiyo kufanya…

Read More

VAR yaiokoa Kenya kwa Angola, yabaki kileleni

KENYA imenusurika kupoteza mechi ya kwanza nyumbani  ikilazimisha sare ya bao 1-1 dhidi ya Angola kwenye mchezo wa pili wa Kundi B wa Fainali za Mataifa Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN). Mchezo huo ambao umepigwa Uwanja wa Moi Kasarani jijini Nairobi umeshuhudia Angola wakiwa wa kwanza kupata bao mfungaji akiwa Joaquim Christovao Paciencia katika…

Read More

UCHAMBUZI WA MJEMA: Chuki hizi mitandaoni zinatuma ujumbe gani kama taifa?

Ninahuzunishwa na kusikitishwa sana na kile kinachoendelea katika mitandao ya Kijamii hapa Tanzania kwa baadhi ya Watanzania kufurahia madhila yanayowapata wenzetu ikiwamo kifo, jambo ambalo tunapaswa kulitafakari kama taifa. Haya yanayoendelea mitandaoni siyo ya kupuuza hata kidogo kwa sababu huko ndiko mijadala ya kisiasa, kijamii na kiuchumi imehamia na tusisahau kuwa huko ndiko Watanzania walio…

Read More

Hisia tofauti kifo cha Ndugai

Dodoma. Serikali imekemea tabia ya baadhi ya watu wanaoshangilia kifo cha Spika mstaafu, Job Ndugai na kusema watu hao hawana utu. Mkuu wa Wilaya ya Kongwa, Simon Mayeka amesema wote wanaoshangilia msiba huu ni kwa sababu hawajui na hawajitambui huku akibainisha kuwa, wamekosa utu. Mayeka amekemea tabia hiyo leo Alhamisi Agosti 7,2025 alipozungumza na waandishi…

Read More

Mkwasa ataka mabao zaidi CHAN

KOCHA wa zamani wa Yanga na timu ya taifa, Taifa Stars, Boniface Mkwasa amesema benchi la ufundi la timu ya taifa lina kazi kubwa ya kufanya kwa kuhakikisha washambuliaji wanatumia nafasi wanazotengeneza kwa kufunga mabao mengi zaidi katika mechi zao za fainali za CHAN 2024. Mkwasa amefunguka hayo baada ya Stars kuandika rekodi ya kuongoza…

Read More