Simba Queens inajipigia tu Yanga Princess

SIMBA imeendeleza ubabe wa Ligi Kuu ya wanawake (WPL) mbele ya Yanga kwa kuifunga tena mabao 3-1 kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi. Mabao ya Simba Queens yaliwekwa kimiani na Asha Mnunka katika dakika ya 49 na 90 kumfanya afikishe mabao 15 kwenye ligi nyuma ya kinara Stumai Abdallah mwenye mabao 17, huku bao la…

Read More

Fei asaka rekodi za Bocco, Kipre Tcheche

BAADA ya kiungo wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’ kuyafikia mabao 14 aliyofunga, Prince Dube msimu wa 2020/21, amebakiwa na mitihani miwili ndani ya kikosi hicho. Fei Toto ambaye huu ni msimu wake wa kwanza kucheza Azam, ndiye kinara wa mabao (14) kwa chama hilo, pia ametoa asisti sita, ingawa anayeongoza kwa asisti ni…

Read More

Mvua yatishia uwepo wa Ligi Kuu

Mvua zinazoendelea kunyesha katika mikoa mbalimbali hapa nchini, zimeonekana kutishia kutibua ratiba ya michezo ya Ligi Kuu Bara. Jumanne wiki hii, ilishuhudiwa mchezo baina ya JKT Tanzania dhidi ya Yanga ukiahirishwa muda mfupi kabla ya kuanza kutokana na hali ya Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo kutokuwa nzuri. Uwanja huo uliopo Mbweni, Dar es Salaam, ulijaa…

Read More

Kaizer Chiefs yamuhitaji Amrouche | Mwanaspoti

ADEL Amrouche amerejea tena kwenye rada za kuinoa Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini, baada ya timu hiyo kuonekana kuhitaji kocha mwingine kwa ajili ya msimu ujao. Ripoti kutoka Afrika Kusini zinabainisha kwamba, kocha huyo raia wa Algeria aliyeiongoza Taifa Stars katika michuano ya Afcon 2023 iliyofanyika Ivory Coast, anapewa nafasi kubwa kutokana na hapo awali…

Read More

Rais Samia ampa zawadi ya fedha Changalawe na wenzake

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amemzawadia zawadi ya fedha nahodha wa timu ya taifa ya Faru Weusi wa Ngorongoro, Yusuph Changalawe na wenzake kutokana na kufanikiwa kushinda medali tatu za shaba katika michuano ya All African Games. Mabondia waliofanya vizuri katika mashindano hayo mbali ya Changalawe ni Mussa Maregesi…

Read More

Bilioni 19.7 kubadili Uwanja wa Uhuru

SERIKALI kupitia Wizara ya Utamaduni Sanaa na Michezo umesaini mkataba na Kampuni ya Railway Construction Engineering Group (CRCEG) kutoka China, kwa ajili ya ukarabati wa Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Mkataba huo una thamani ya Sh19.7 bilioni kabla ya VAT huku ukarabati ukitarajiwa kuchukua takriban miezi 12 ili kukamilika. Akizungumza katika hafla ya kusaini…

Read More

CAF yaipa ushindi Berkane, yaitega USM ALGER

Shirikisho la Soka Afrika (CAF) hatimaye limefanya uamuzi wa kuipa ushindi RS Berkane baada ya kubaini Wamorocco hao walifanyiwa vitendo sio vya kiungwana na wenyeji wao USM Alger ya Algeria. Taarifa iliyotolewa na CAF imesema idara ya mashindano ya Shirikisho hilo imebaini USM Alger haikuwatendea haki Berkane kwa kutowapa mapokezi sahihi wageni wao kama ambavyo…

Read More