Dodoma Jiji, KMC vita ya nafasi Bara

LIGI Kuu Bara inaendelea tena leo kwa mchezo mmoja kupigwa ambapo Dodoma Jiji itakuwa kwenye Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma kucheza na KMC. Dodoma ambayo huu utakuwa mchezo wake wa 23, ikishinda itasogea kutoka nafasi ya 10 iliyopo sasa na pointi 25 hadi ya nane na kuzishusha Namungo na Singida Fountain Gate zenye pointi 26…

Read More

SPOTI DOKTA: Sababu ya majeraha ya Inonga, Lomalisa

KATIKA Kariakoo Dabi ya Ligi Kuu Bara kati watani wa jadi, Simba na Yanga iliyochezwa Jumamosi iliyopita kwenye Uwanja wa Benjamini Mkapa ilishuhudia Yanga ikiibuka na ushindi wa mabao 2-1. Kama unavyofahamu mchezo huu unachezwa kwa mbinu nyingi za uwanjani na nje ya uwanja, kelele za mashabiki mitandaoni na uwanjani vinasababisha kuwepo kwa hamasa kubwa…

Read More

Nyota JKT afichua balaa la Aucho Yanga

Nyota wa JKT Tanzania, Hassan Kapalata amesema haikuwa rahisi kupambana na kiungo wa Yanga, Khalid Aucho katika mchezo wa Ligi Kuu Bara baina ya timu hizo uliopigwa juzi kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo na kumalizika kwa suluhu. Akizungumza na Mwanaspoti, Kapalata alisema ubora mkubwa kwa Yanga uko kwenye eneo la kiungo na Aucho ndiye…

Read More

Undani wa ugomvi wa Morocco, Algeria ni huu

NAKUMBUKA ilikuwa Januari 2022, wakati mashindano ya AFCON 2021, yanaendelea kule Cameroon. Baada ya mchezo wa hatua ya makundi kati ya Algeria na Ivory Coast kumalizika na kupoteza kwa mabao 3-0 niliona kundi kubwa la rafiki zangu wa Morocco kwenye status za mtandao wa WhatsApp wakifurahia kipigo hicho ambacho kilisababisha Algeria iishie hatua ya makundi….

Read More

Kutoka ukondakta hadi kucheza Yanga, JKT Tanzania

HISTORIA ya maisha ya mshambuliaji wa JKT Tanzania, Matheo Antony itakufunza kutoyakatia tamaa maisha, kwani wakati anasajiliwa Yanga msimu wa 2015/16 alikuwa anapiga mishe za ukonda wa daladala. Kwenye mahojiano yake na Mwanaspoti, amesema mwaka 2014 hadi mwanzoni mwa 2015 wakati anacheza KMKM alipiga sana mishe za ukonda wa daladala, pamoja na hilo amesema haikumzuia…

Read More

Kwenye soka pele, ngumi kuna ali, kriketi yupo

Garfield (Gary) Sobers. Moja ya majina makubwa sana katika Kisiwa cha Barbados ikiwa ni zaidi ya miaka 40 anaimbwa na kila mtu. Ameitangaza vyema nchi yake na kuipa heshima kubwa kimataifa akiwa mchezaji wa kriketi maarufu miaka ya 1980. Sober ni jina lililoingia kwenye ukurasa maalumu wa miamba ya mchezo huo duniani waliofanya mambo ambayo…

Read More

Freddy namba zinambeba Simba | Mwanaspoti

SIMBA baada ya kuchapwa mabao 2-1 na watani wao wa jadi Yanga kwenye mechi ya ligi wikiendi iliyopita, jana ilikuwa uwanjani Zanzibar kwaajili ya michuano ya Kombe la Muungano lililorejea baada ya miaka 20, ila kubwa zaidi ni namna mshambuliaji wake Freddy Michael anavyojitofautisha na wachezaji washambuliaji wengine wa kikosi hicho. Pamoja na kuwa Simba…

Read More

Dabo: No Dube, No Diao, No Problem!

AZAM imecheza mechi 11 bila ya mshambuliaji asilia, kutokana na Allasane Diao kuwa majeruhi, huku Prince Dube akiisusa timu akilazimisha kuondoka, lakini hilo halijaizuia timu hiyo kupata matokeo mazuri na kocha Youssouph Dabo amefichua kilichombeba licha ya kutokuwa na nyota hao tegemeo.

Read More

Nidhamu yaibeba JKT mbele ya Yanga jeshini

NIDHAMU nzuri ya kujilinda kwa vijana wa Malale Hamsini, JKT Tanzania ni miongoni mwa mambo ambayo yaliifanya Yanga kuwa na wakati mgumu kuifungua ngome ya maafande hao katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo. Kwa mara ya pili msimu huu wa 2023/24, Yanga imetoka suluhu katika mchezo wa Ligi…

Read More

Beki azichonganisha Azam, Ihefu | Mwanaspoti

AZAM FC imeanza mazungumzo ya kumuongezea mkataba mpya beki kiraka, Natahaniel Chilambo lakini wakati hilo likitokea, Ihefu imeibuka ghafla na kuonyesha nia ya kumhitaji mlinzi huyo wa zamani wa Ruvu Shooting. Uongozi wa Ihefu unafahamu fika kuwa mkataba wa Chilambo na Azam FC utafikia tamati mwishoni mwa msimu huu hivyo kikanuni inaruhusiwa kufanya mazungumzo naye…

Read More