MNYAMA KATEPETA TENA MBELE YA WANANCHI

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV KLABU ya Yanga imeendelea kutamba mbele ya watani wao Simba Sc mara baada ya kufanikiwa kuichapa 2-1 kwenye dimba la Benjamini Mkapa Jijini Dar es Salaam. Katika mchezo ambao Yanga walianza kupata bao kupitia kwa Aziz Ki kwa mkwaju wa penati baadae Joseph Guede kupachika bao la pili akipokea pasi…

Read More

Walioachwa Simba watwaa ubingwa | Mwanaspoti

TIMU ya APR imetwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Rwanda 2023/24 bila ya kupoteza mchezo huku kikosini kwake ikiwa na mastaa wawili walioachwa na Simba ya Tanzania ambayo jana ilifungwa mabao 2-1 na Yanga katika Kariakoo Dabi. APR imetwaa taji hilo kwa mara ya tano mfululizo baada ya kuifunga Kiyovu Sports bao 1-0, katika mechi…

Read More

MTU WA MPIRA: Dube mtihani mwingine huu

KUNA vitu vinakera sana. Kuna vitu vinakwaza mno. Unajiuliza mpaka sasa katika dunia ya leo bado tunaishi katika zama za kale. Ni kama hili tukio la straika wa Azam FC, Prince Dube. Ni jambo la kijinga kulizungumza katika soka la kisasa. Dube amekimbia kambini pale Azam FC baada ya kutoa barua ya kuomba kuvunjiwa mkataba…

Read More

Mtoko wa KenGold twenzetu Ligi Kuu Bara

WAKATI Ken Gold ikishuka uwanjani leo Jumapili dhidi ya FGA Talents, Jiji la Mbeya litasimama kwa muda kushangilia historia ya mafanikio kwa timu hiyo kupanda Ligi Kuu. Hii ni baada ya kudumu misimu minne mfululizo wakiisaka ladha ya Ligi Kuu bila mafanikio, lakini hatimaye ndoto imetimia ambapo wadau na mashabiki wa soka itakuwa ni furaha…

Read More

Yanga yaitawala Simba nje ndani

Ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu unazidi kuikaribia Yanga na sasa inahitajika kupata ushindi katika mechi tano na sare moja kati ya mechi nane ilizobakiza ili ijihakikishie ubingwa kwa mara ya tatu mfululizo pasipo kutegemea matokeo ya timu nyingine, lakini jingine kubwa ni matokeo ya jumla ya mabao 7-2 na pointi sita ambavyo Wananchi…

Read More

Aziz Ki: Nimeahidi, nimetimiza | Mwanaspoti

Kiungo wa Yanga SC, Stephanie Aziz Ki, amesema ana furahi kuona ile ahadi yake ya kufunga bao katika Kariakoo Dabi, ameitimiza. Aziz Ki alimuahidi Mjumbe wa Baraza la Wadhamini la Yanga, Antony Mavunde ambaye pia ni Waziri wa Madini na Mbunge wa Dodoma Mjini, kwamba atafunga bao kwa ajili yake na kweli amefanya hivyo baada…

Read More

Gamondi, Benchikha wakutana na sapraizi Kwa Mkapa

Unaweza kusema ni kama makocha wa timu zote mbili, Miguel Gamondi wa Yanga na Abdelhak Benchikha wa Simba wamekutana na sapraizi, baada ya kulazimika kufanya mabadiliko ya mapema zaidi. Kwa kawaida, mabadiliko ya wachezaji kwenye mechi hufanyika kiufundi, lakini jana makocha hao walilazimika kuyafanya mapema bila ya kutarajiwa. Alianza Gamondi kufanya mabadiliko ya kumtoa Joyce…

Read More