Al Ahly yatanguliza mguu fainali ya CAFCL

Sare isiyo ya mabao iliyopata watetezi wa Ligi ya Mabingwa Afrika, Al Ahly ya Misri ikiwa ugenini dhidi ya TP Mazembe ya DR Congo, imeiweka pazuri timu hiyo ya Misri katika na nafsi ya kutinga fainali ya 17 tangu mwaka 1987. Katika mechi ya mkondo wa kwanza ya nusu fainali iliyopigwa jioni ya leo Jumamosi…

Read More

Matola akiri ubingwa ni mgumu

Kocha Msaidizi wa Simba, Seleman Matola, amesema kupoteza tena mbele ya Yanga kumezidi kufanya safari ya ubingwa kuwa ngumu. Akizungumza baada ya dakika 90 za mchezo wa Kariakoo Dabi kumalizika, Matola amekiri wamepoteza nafasi ya ushindani kuwania ubingwa msimu huu, lakini haina maana kwamba ndio mwisho wa msimu kwani bado wana mechi nyingine zilizobaki. “Tulianza…

Read More

Gamondi achekelea kuichapa Simba, ausogelea ubingwa

Kocha Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi, amesema licha ya kufanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Simba, amekiri kuwa haikuwa rahisi huku akiwamwagia sifa mastaa wake kwa kufanya kazi kwa usahihi. Gamondi amefunguka hayo muda mchache baada ya kukamilika kwa mchezo wa Kariakoo Dabi ambapo timu yake imefisha pointi 58 na kuendelea kujikita…

Read More

Yanga yabakiza sita za ubingwa

Yanga imeendeleza ubabe kwa Simba baada ya kuichapa kwa mara ya pili ndani ya Ligi Kuu Bara katika msimu mmoja kutokana na kushinda mabao 2-1, leo Jumamosi, huku ikibakisha kushinda mechi sita kati ya nane ili kutetea ubingwa wake. Yanga imeibuka na ushindi huo kutokana na mabao ya Stephanie Aziz Ki dakika ya 20, akifunga…

Read More

JKT yaichapa Geita Queens 9-0, Stumai akiweka matano WPL

LEO saa 4:00 asubuhi katika Uwanja wa Meja Jenerali Isamuyo ilipigwa mechi ya Ligi Kuu ya Wanawake (WPL), JKT Queens ikiwa nyumbani na kuondoka na ushindi wa mabao 9-0 dhidi ya Geita Queens. Mabao yalifungwa na Stumai Abdallah aliyeweka kambani matano, Winifrida Gerald, Alia Fikirini, Donisia Minja na Lydia Maximilian waliofunga moja kila mmoja. Kwa…

Read More

Yanga yagomea chumba cha kubadilishia nguo Kwa Mkapa

Muda mfupi baada ya Yanga kuwasili katika Uwanja wa Mkapa, wamelazimika kugomea kuingia kwenye chumba cha kubadilishia nguo. Maofisa wa Yanga waliotangulia kukagua chumba hicho walionekana kutoridhishwa na mandhari waliyoyakuta ambapo walionekana kulalamika kuna hewa nzito na kuumia macho wakidai kutokwa machozi. Kutokana na ishu hiyo, wahusika wakuu wa mchezo huo akiwemo Mratibu Mkuu, Herieth Gilla, walifika…

Read More

Ayoub atwishwa zigo la lawama Kariakoo Dabi

KOCHA wa Simba, Abdelhak Benchikha amemuanzisha kipa  Ayoub Lakred katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya watani zao, Yanga. Ayoub aliyesajiliwa na timu hiyo msimu huu, huo utakuwa mchezo wake wa kwanza wa Dabi ya Kariakoo kucheza tangu aliposajiliwa akitokea klabu ya Far Rabat ya Morocco. Katika kikosi cha Simba kinachoanza leo dhidi ya Yanga ni…

Read More

Yao arejea Yanga baada ya dakika 360

BAADA ya kukosekana katika michezo minne iliyopita sawa na dakika 360, hatimaye beki wa kulia wa Yanga, Attohoula Yao amerejea uwanjani kwa kupangwa kuanza katika mchezo wa watani wa jadi dhidi ya Simba ambao unachezwa leo, Jumamosi kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa. Yao ambaye alipata majeraha katika mchezo wa ligi dhidi ya Azam, alikosa mechi mbili…

Read More

Pacome amuangukia Gamondi, kocha amgomea

SAA chache kabla ya Yanga kuanza safari ya kuja uwanjani kiungo wa timu hiyo amewasilisha maombi kwa kocha wake ampe hata dakika 20 za mchezo huo. Taarifa kutoka ndani ya Kambi ya Yanga ni kwamba baada ya kiungo huyo kufanya mazoezi vizuri ya siku tatu na kikosi hicho, akawasilisha maombi hayo kwa Gamondi, lakini akagoma….

Read More

Saa 4 kabla ya mechi, Kwa Mkapa jua kaliii

Zikiwa zimesalia takribani saa nne ili kuchezwa kwa mechi ya Watani wa Jadi Yanga dhidi ya Simba, hali ya Uwanja wa Benjamin Mkapa, imepoa. Wakati saa zikizidi kusogea na jua likiwa kali katika maeneo ya uwanja, mpaka sasa hali bado si ya kuridhisha kwa upande wa mashabiki. Rangi zinazoonekana kwa wingi maeneo haya ni kijani…

Read More