
Yanga, Simba kutangulia dabi nyingine tano duniani wikiendi hii
Wikiendi hii kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam kutakuwa na Dabi ya Kariakoo, ikiwa ni dabi ya tano Afrika kwa ukubwa, macho na masikio ya kundi kubwa la mashabiki wapenda soka yatakuwa hapo. Simba na Yanga zinakutana katika mchezo wa duru la pili wa ligi baada ya ule wa kwanza kumalizika kwa…