
Singida BS yamgeukia straika Mkongomani
BAADA ya Singida Black Stars kufikia makubalino na Simba ya kumuachia aliyekuwa nyota wa kikosi hicho, Mghana Jonathan Sowah, mabosi wa timu hiyo wako hatua nzuri ya kumpata mshambuliaji mpya raia wa DR Congo, Malanga Horso Mwaku. Sowah tangu ajiunge na kikosi hicho dirisha dogo la Januari 2025, akitokea Al-Nasr Benghazi ya Libya, alifunga mabao…