Kina Mayele wamtibulia aliyeikacha Yanga

USHINDI wa mabao 2-0 iliyoupata Pyramids dhidi ya Al Ahly, umetibua mambo katika klabu hiyo mabingwa wa kihistoria wa Ligi ya Mabingwa Afrika na sasa moto unawaka huku anayesakwa ni aliyeikataa Yanga. Ni hivi. Kocha wa Al Ahly, Jose Riveiro amekalia kuti kavu ligi kuu ya Misri, akihesabu siku baada ya kuanza vibaya akiwa na…

Read More

Jacob Massawe awatolea uvivu mawakala

KIUNGO mshambuliaji wa Namungo, Jaccob Massawe amesema mawakala wanapaswa kuacha tamaa na kuangalia malengo ya wachezaji wadogo akitolea mfano ishu ya Clement Mzize. Mkongwe huyo anayeitumikia Namungo kwa msimu wa tano sasa tangu ajiunge nayo msimu wa 2020/21 akitokea Gwambina. Akizungumza na Mwanaspoti, Massawe mwenye uwezo wa kucheza kama winga amesema mawakala wengi wanakwamisha viwango…

Read More

Waganda waja kivingine mbio za magari Afrika

UJUMBE mzito wa madereva na mashabiki wa mbio za magari kutoka Uganda unatarajiwa kuwasili nchini Tanzania kwa ajili ya kusherehesha mashindano ya magari ubingwa wa Afrika yatakayochezwa nchini  Septemba 19, 20 na 21 mkoani Morogoro. Waganda wanakuja Morogoro wakiwa na mabingwa watarajiwa, Mtanzania Yassin Nasser ambaye ni dereva na Mganda Ally Katumba, ambaye ni msoma…

Read More

Baleke aibukia Rayon Sports | Mwanaspoti

STRAIKA wa zamani wa TP Mazembe, Simba na Yanga, Jean Baleke ametua Rayon Sports ya Rwanda kwa kupewa mwaka mmoja wa kuitumikia klabu hiyo iliyomaliza nafasi ya pili katika Ligi Kuu ya Rwanda msimu uliopita ikizidiwa pointi nne na mabingwa mara sita mfululizo, APR. Nyota huyo raia wa DR Congo kwa muda wa miezi sita…

Read More

Mukwala, Aucho upepo umebadilika, warejeshwa The Cranes

SIKU tatu tu tangu kikosi cha timu ya taifa ya Uganda The Cranes kutangwazwa huku majina ya nyota wa zamani wa Yanga, Khalid Aucho na mshambuliaji wa Simba, Steven Mukwala kutojumuishwa upepo umebadilika kwa wachezaji hao. Taarifa kutoka Uganda zinasema kuwa, nyota hao wameongezwa katika kikosdi hicho kinachojiandaa na mechi mbili za kuwania kufuzu fainali…

Read More

Rekodi ya Namungo CAF yamvutia Makambo

MSHAMBULIAJI mpya wa Namungo, Heritier Makambo amesema alichovutiwa kujiunga na Namungo ni pamoja na rekodi yao kimataifa na anatamani aandike historia nyingine akiwa na timu hiyo. Makambo alijiunga na Namungo dirisha hili la usajili akitokea Tabora United alipofunga mabao sita na asisti nne. Akizungumza na Mwanaspoti, Makambo amesema ukiachana na ofa nzuri aliyowekewa, lakini rekodi…

Read More

CHAN ilivyoisha na utamu wake

ACHANA na matokeo ya fainali ya mashindano ya CHAN 2024 iliyopigwa jana kati ya Morocco na Madagascar, lakini kipute hicho kilichoanza Agosti 2 – 30, 2025 kwa mara ya kwanza kilihusisha nchi tatu wenyeji ikiwa ni Kenya, Tanzania na Uganda, lakini kimeweka historia mpya kwa kuvunja rekodi mbalimbali. Hii ilikuwa ni hatua kubwa katika kukuza…

Read More

Bado Watatu – 14

Hebu fikiria kuwa wewe ni mpelelezi. Kuna mtu amenyongwa na wasiojulikana, lakini aliyenyongwa siku hiyo, ndiye yule ambaye alishanyongwa hadi akafa miaka miwili iliyopita kwa hukumu ya mahakama kutokana na kosa la kuua! Uchunguzi wa polisi unaonyesha kuwa mtu aliyegunduliwa amemnyonga mwenzake naye alishauawa kwa kunyongwa miaka miwili ilipita!

Read More

Mwihambi kurejesha majeshi Mtibwa Sugar

BEKI wa kati, Vedastus Mwihambi yupo mbioni kurejea Mtibwa Sugar, baada ya mkataba wake na Tanzania Prisons kumalizika, ambapo mazungumzo baina ya pande zote mbili yapo katika hatua nzuri zaidi. Nyota huyo anarejea Mtibwa Sugar ikiwa ni misimu miwili imepita tangu aondoke ndani ya kikosi hicho msimu wa 2022-23 na kujiunga na Ihefu ambayo kwa…

Read More

Ibenge: Subirini mechi ya kwanza muone!

KOCHA Mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge amesema timu yake bado inaendelea kujifua kwa ushindani na itakuwa tayari siku ya mechi ya kwanza ya michuano iliyo mbele yao. Timu inatarajia kuvaana na Al Merrikh Bentiu ya Sudan Kusini katika Kombe la Shirikisho Afrika mechi ambayo imepangwa kuchezwa Septemba 19 na marudiano ni Septemba 26 katika…

Read More