DR Congo yazinduka CHAN, yainyoa Zambia

BAADA ya kupoteza mechi ya kwanza ya mashindano ya CHAN 2024 inayoendelea kutimua vumbi ukanda wa Afrika Mashariki, DR Congo imepata ushindi wa kwanza jioni hii dhidi ya Zambia.  DR Congo ilianza michuano hiyo ilichapwa katika mechi ya kwanza dhidi ya wenyeji, Kenya ambao usiku huu wapo uwanjani kutupa karata ya pili katika michuano hiyo….

Read More

Kocha Simba apata chimbo Ghana

ALIYEKUWA kocha wa Simba Queens, Yussif Basigi ametambulishwa kwenye kikosi cha Police Ladies ya Ghana kuiongoza timu hiyo kwenye michuano ya WAFU kufuzu Ligi ya Mabingwa Afrika kwa wanawake. Kocha huyo raia wa Ghana alihudumu Simba msimu mmoja akitokea Hasaacas Ladies ya nchini kwao, lakini hakufanikiwa kutetea ubingwa wa Ligi ya Wanawake akiushuhudia ukienda kwa…

Read More

Kisa Simba, maafande waitana kumjadili Yakoub

KIKAO kizito kinachotarajia kufanyika ndani ya wiki hii kati ya uongozi wa JKU Zanzibar na JKT Tanzania, kitahusu kinachoendelea kwa kipa Yakoub Suleiman kuhusishwa kutakiwa na Klabu ya Simba iliyopo jijini Ismailia, Misri kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya. Mwanaspoti lina taarifa kutoka chanzo cha ndani kilichodai kwamba wachezaji askari wanapotoka Zanzibar kuja kucheza…

Read More

Mkenya kumchomoa mmoja Simba SC

BAADA ya Simba Queens kumrejesha mshambuliaji Mkenya Jentrix Shikangwa inaelezwa viongozi huenda wakavunja mkataba wa Magnifique Umutesiwase raia wa Rwanda. Hadi sasa Simba imesajili wachezaji sita wa kigeni ambao ni Zainah Nadende (Uganda), Ruth Aturo (Uganda), Zawadi Usanase (Rwanda), Cynthia Musungu (Kenya), Fasila Adhiambo (Kenya) na Magnifique Umutesiwase. Na wale waliokuwepo msimu uliopita ni Winifrida…

Read More

Uhondo wa CHAN upo Nairobi

UHONDO wa fainali za CHAN 2024 unaendelea leo kwa mechi mbili za Kundi A, mapema jioni DR Congo itavaana na Zambia kabla ya wenyeji Kenya kumalizana na Angola, mechi zote zikipigwa jijini Nairobi. Saa 10:00 jioni, DR Congo iliyoanza michuano hiyo kwa kichapo cha bao 1-0 kutoka kwa wenyeji Kenya, itavaana na Zambia inayotupa karata…

Read More

Taifa Stars ina ‘sapraizi’ yenu

ACHANA na matokeo ya mechi ya jana usiku wakati Taifa Stars ikimalizana na Mauritania katika mechi ya pili ya Kundi B la michuano ya CHAN 2024, timu hiyo ya taifa ina sapraizi kwa mashabiki wa soka kupitia fainali hizo, kama itaendelea na moto katika mechi mbili zijazo za kundi hilo. Stars inayoshiriki fainali za tatu…

Read More

Foba kiroho safi kwa Manula

KIPA wa Azam FC, Zuberi Foba amesema ni furaha kwake kucheza timu moja na Aishi Manula aliyemtaja kuwa ni mwalimu kwani ndiye aliyekuwa anamtazama kabla ya kuanza kucheza soka la ushindani huku akitaja sababu za kumuachia jezi namba 28. Manula atakuwa sehemu ya kikosi cha Azam msimu ujao baada ya kujiunga akitokea Simba na ameachiwa…

Read More

Tshabalala apewa mkataba wa kishua

BEKI Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ ametambulishwa usiku wa juzi akiwa mmoja ya nyota wapya wa Yanga akitokea Simba, lakini saini ya mkataba uliomfanya avae uzi wa Jangwani si mchezo kutokana na mkwanja aliovuna kutoka kwa mabingwa hao wa soka wa Tanzania. …

Read More