Dk Mwinyi ajitosa ishu ya Zanzibar CAF

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imesema bado inapambana ili kupata ufumbuzi juu ya suala la timu ya taifa ya soka ya Zanzibar, ‘Zanzibar Heroes’ la kutopata nafasi ya kushiriki mashindano mbali mbali yanayoandaliwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF).Hayo yamesemwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Hussein Ali Mwinyi…

Read More

Ukiwa na macho ZPL marufuku

UNGUJA. BODI ya Ligi Kuu Zanzibar (ZPLB) kupitia kwa Mtendaji Mkuu, Issa Kassim ameliambia Mwanaspoti hawatamruhusu kucheza mechi mchezaji yeyote atakayebainika kuwa na tatizo la macho mekundu maarufu kama red eyes. “Uzuri haya maradhi hayamfichi mtu mwenye nayo anaonekana wazi wazi  kwahiyo hakuna ulazima wa kubeba vifaa mchezaji ukimuona tu utamjua kama anayo au hana,”…

Read More

Simba, MO Dewji hakuna anayemlinda mwenzake

Penzi lililo imara ni lile ambalo kila mmoja anawajibika kwa mwenzake na kumlinda iwe katika nyakati za shida na raha. Walio katika penzi imara wanacheka na kufurahi pamoja wakati wanapopitia nyakati za furaha na katika nyakati za huzuni wanalia na kusikitika pamoja pasipo mmoja kumuacha mwenzake. Kama ambavyo ni suala la kawaida kwa penzi la…

Read More

Ninja ile ishu ya Fei Toto, nilipakaziwa tu!

BEKI wa Lubumbashi Sport ya DR Congo, Mtanzania Abdallah Shaibu ‘Ninja’ kuna jambo amejifunza kutokana na kupata nafasi ya kucheza nje kwa awamu mbili tofauti, linalompa nguvu ya kutoogopa changamoto anazokutana nazo. Katika mahojiano yake na Mwanaspoti, Ninja anasema kwa mara ya kwanza alipoondoka nchini mwaka 2019 kwenda kujiunga na LA Galaxy II ya Marekani…

Read More

Mabondia wanaomiliki ndinga zao | Mwanaspoti

ZAMANI mabondia wengi wa Bongo walikuwa wanapanda daladala au kukodisha magari kwa ajili ya kufika katika maeneo mengine kabla ya kuibuka kwa uwepo wa pikipiki maarufu bodaboda ambazo wapo baadhi wamefanya ni biashara yao.Lakini miaka ya sasa mambo yamebadilika kwani wapo baadhi ya mabondia wakali wanaomiliki na kuendesha ndinga zao wenyewe ambazo zimetokana na mchezo…

Read More

Nyota Lille awafuata Ronaldo, Messi wapya Bongo

NILETEENI wachezaji wa maana’. Ndivyo alivyoagiza mchezaji wa zamani wa Lille ya Ufaransa, Souleymane Youla ambaye Juni mwaka huu, atatua nchini akiongoza jopo la maskauti kutoka barani Ulaya kwa kazi moja tu kuhakikisha wanaondoka na Lionel Messi na Cristiano Ronaldo wapya kutoka Tanzania. Youle ambaye kwa sasa amejikita katika kutafuta vipaji huku akifanya kazi kwa…

Read More

Mafua: Hadi Diamond aliwahi kukodi cheni kwangu

BURUDANI yake kubwa siku zote kwake imekuwa kupanda juu ya ulingo kama msaidizi wa bondia na ikishindikana kwa bondia wa ndani basi usishangae kumuona akiwa kwenye kona ya bondia mpinzani hata akiwa anatokea nje ya mipaka ya Tanzania. Yaani yale masuala ya uzalendo ambayo serikali kupitia kwa Waziri wa Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dk Damas…

Read More

PUMZI YA MOTO: Kutoka Neverkusen hadi Neverlosing

KAMA kuna hadithi tamu ya kuisimilia katika ulimwengu wa soka, basi ni hii ya muujiza wa kocha Xabi Alonso na klabu yake ya Bayer Leverkusen ya Ujerumani. Baada ya miaka 120 ya uhai wao, Bayer Leverkusen wameshinda kwa mara ya kwanza taji la Ligi Kuu Ujerumani (Bundesliga).Timu hiyo iliyoanzishwa mwaka 1904 ilikuwa imeshinda mataji mawili…

Read More

NJE YA BOKSI: Mapambano haya yaliwaletea neema

NEVADA, MAREKANI: Kazi kazi. Mchezo wa ngumi ni moja ya michezo inayolipa pesa ndefu kwa mabondia kupanda ulingoni. Haijalishi bondia atapigana kwa muda gani. Wapo wanaopanda na kushuka kwa maana ndani ya sekunde chache tu wameshakalishwa, lakini hilo haliwazuiii kuchota chao. Malipo kama kawa. Ni moja ya michezo ambayo uhakika wa pesa ni nje nje….

Read More

Prince Dube, Azam sasa kumekucha TFF

Picha la Azam FC na Prince Dube limeanza upya na kuanzia kesho yatafichuka mengi pande hizo mbili zitakapokutana uso kwa uso kwa mara nyingine. Mwanaspoti awali liliripoti kwamba Prince Dube ameukana mkataba wake na Azam FC unaomalizika 2026 na akaondoka Chamanzi. Staa huyo alikwenda kushtaki kwenye Shirikisho la Soka la Tanzania (TFF) na kesi yake…

Read More