Prince Dube, Azam sasa kumekucha TFF

Picha la Azam FC na Prince Dube limeanza upya na kuanzia kesho yatafichuka mengi pande hizo mbili zitakapokutana uso kwa uso kwa mara nyingine. Mwanaspoti awali liliripoti kwamba Prince Dube ameukana mkataba wake na Azam FC unaomalizika 2026 na akaondoka Chamanzi. Staa huyo alikwenda kushtaki kwenye Shirikisho la Soka la Tanzania (TFF) na kesi yake…

Read More

Raska Zone hesabu kali wakiitisha KVZ

WAKATI Raska Zone ikianza mazoezi kujiandaa na Ligi Daraja la Kwanza Kanda ya Unguja, mastaa wametamba kurejea uwanjani kwa nguvu mpya kutafuta kupanda Ligi Kuu msimu ujao. Timu hiyo imekuwa na matokeo mazuri ikianza kufuzu 16 bora ya Kombe la Shirikisho, ipo nafasi ya pili kwa pointi 27 kwenye Ligi Daraja la Kwanza ikiachwa alama…

Read More

Tanimu: Beki Ihefu aliyekipiga na Osimhen, Iwobi na Ihenacho

Wiki chache zilizopita bendera ya Tanzania ilipepea huko Nigeria kwa mchezaji wa Ligi Kuu Bara, Benjamin Tanimu kutoka Ihefu (Singida Black Stars) kuitwa na kucheza katika kikosi cha Super Eagles kilichokuwa na mastaa kama vile Nathan Tella (Bayer Leverkusen), Victor Osimhen (Napoli), Kelechi Iheanacho (Leicester City) na Alex Iwobi (Fulham FC). Tanimu ambaye ni beki…

Read More