
Dau la Ecua Yanga kiboko
YANGA imemtambulisha mmoja ya washambuliaji wapya kutoka Ivory Coast, Celestin Ecua aliyemaliza Ligi ya nchi hiyo akiwa na mabao 15 na asisti 12 na huku mtandaoni mashabiki wa klabu hiyo wanatamba, lakini ni kwamba dau lililomfanya atue Jangwani sio la kitoto. Straika huyo…