Yanga ni mwendo wa dozi

UNAJUA maisha yanayoendelea pale  Jangwani kwa sasa? Kama huelewa, basi taarifa ikufikie kwamba mambo ni moto kwelikweli huku utambulisho wa mastaa wapya ukiendelea. Nyuma ya utambulisho huo kuna sapraizi moja matata inapikwa na kinachoelezwa ni kwamba mastaa wa timu hiyo kwa sasa wanaifanyia…

Read More

Siku zangu 100 za kwanza Mkurugenzi Mtendaji wa MCL

Ilikuwa jioni ya Jumatatu, Aprili 28, 2025 katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam. Ukumbi ulijaa viongozi wa juu wa Nation Media Group na Mwananchi Communications Limited (MCL). Ilikuwa ni siku ya kihistoria, matarajio na imani kubwa. Mbele yangu waliketi Mwenyekiti wa NMG Wilfred Kiboro; Mwenyekiti wa Bodi ya MCL David Nchimbi; wajumbe wote…

Read More

Wahi Kwa Mkapa uione Taifa Stars bure

CHAN 2024 inaendelea leo kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, grupu B likicheza mechi zake za pili. Mchezo wa mapema utapigwa kuanzia saa 11:00 Jioni ukizihusisha timu za Taifa za Burkina Faso na Jamhuri ya Afrika ya Kati huku mchezo wa Taifa Stars dhidi ya Mauritania ukitarajiwa kuanza saa 2:00 usiku. Kupitia ukurasa rasmi wa Shirikisho…

Read More

Makipa Taifa Stars wana jambo Chan 2024

MAKIPA wa timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Hussein Masalanga na Yakubu Suleiman wamezungumzia wanavyojifunza vitu vingi kupitia Kombe la Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN). Masalanga ambaye anatarajia kuongeza mkataba mpya na Singida Black Stars baada ya ule aliokuwa nao kumalizika msimu uliopita, alisema michuano ya CHAN anaitumia kama fursa ya…

Read More

Mashujaa yaanza tizi na wapya tisa

TIMU ya Mashujaa FC imeweka kambi ya maandalizi ya msimu mpya jijini Dar es Salaam huku ikiwa na sura tisa mpya. Mwezi uliopita timu hiyo ilitangaza kuachana na wachezaji tisa ambao ni Ibrahim Ame, Yahya Mbegu, Jeremanus Josephat, Emmanuel Martin, Ibrahim Nindi, Zuberi Dabi, Omary Kindamba, Abrahman Mussa, Ally Nassor na Mohamed Mussa. Ili kuziba…

Read More

Ibenge aitabiria Taifa Stars ubingwa Chan 2024

KOCHA mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge ameonyesha kuvutiwa na kiwango cha timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa stars’ katika mashindano ya CHAN baada ya kuifunga Burkina Faso kwa mabao 2-0 katika mchezo wa kwanza. Ibenge yupo wilayani Karatu mkoani Arusha, ambako timu yake iko kwenye kambi ya maandalizi ya msimu mpya wa Ligi Kuu…

Read More

Taifa Stars na leo tena

Baada ya kuanza vyema Fainali za Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ligi za Ndani (CHAN) 2024, timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ leo inatupa karata muhimu katika kundi B la mashindano hayo wakati itakapokabiliana na Mauritania katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam kuanzia saa 2:00 usiku. Kabla ya mechi hiyo, Burkina…

Read More